Ujinga wa mtanzania (?)

jamani naomba niulize, hiyo mashine inaukubwa gani. kama punje ya mchele au ni kubwa kama zile za X-ray, haiwezi kuingia akilini kabisa, kuna wagonjwa wamelazwa pale na kuna walinzi na wahudumu wa hospitalini, iweje mashine itoke nje,
mimi siamini kama huo ni wizi, huo ni ufisadi mtupu, hiyo mashine itapatikan lakini itakuwa sio yenyewe kwani wameenda kuiswap tu

Kweli kabisa mkuu Kituko, huu ni ufisadi na unaweza kutokea tu katika Shirika , kampunu ya UMMA.
Mbona hatusikiimambo kama haya kutokea Aga Khan ,Hindu Mandal, Burhani au hospitali nyingine binafsi.
Huu ni ugonjwa wa vitu vya umma , havina mwenyewe, wa kujichukulia mapema haya.
Sikubaliani kuwa hawa watu hwana akili, ila mwenye akili zaidi ni yule liye watime kuchukua kitu hicho.
Kwenye kampuni binafsi everybody is smart.
 
Back
Top Bottom