nashindwa kumuelewa huyu sheikh anaye wadanganya wanzanzibar kuhusu mambo ya uchumi, hajui kwamba bakhresa kafuata soko kubwa la ngano yake nk, hata amerika hawaiachi china maana ni soko kubwa na hivyo hivyo kwa zantel, hiyo kodi mara mbili anajua mambo ya double taxation na relief zake au ndio huo ushehe ubwabwa. kodi ikiwa anzibar ni 10% na bara ni 20% basi ukishusha zanzibar halafu mzigo ukauleta bara basi ni lazima ulipie hiyo difference.
na ukizungumzia huo uislamu wa mweupe na mweusi na uhusiano wa bwana na mtumwa , sasa kama wao weusi wanaona ufahari wa kuwa watumwa basi waendele na msimamo wao
na ukizungumzia huo uislamu wa mweupe na mweusi na uhusiano wa bwana na mtumwa , sasa kama wao weusi wanaona ufahari wa kuwa watumwa basi waendele na msimamo wao