Weusi kwenye kusakafia na weupe kwenye computer... Nchi za Wenzetu mzawa kwenye komputer na mgeni ndio sakafuni
Hapo sio skills tu mkuu, Tender yenyewe ni kampuni ya wazungu, Haya niambie kwa skills tulizonazo na kampuni zetu wazawa ni ngapi zinao uwezo wa kufanya project kama hiyo, nikimaanisha wataalamu, Vifaa, uchumi na uzoefu.Watasingizia wazawa hawana skills za kuangalia,kwenye kompyuta.
haa haa hao wenzetu kina nani mkuuWeusi kwenye kusakafia na weupe kwenye computer... Nchi za Wenzetu mzawa kwenye komputer na mgeni ndio sakafuni
Hakuna mkuu, hiyo ni office moja tu, tena sehemu ndogo ya office, watanzania wapo kibao na wanaheshimika. BAM International sio wabaguzi kama makampuni ya kihindi na kichina, jamaa wako fair sana wanajli utu wa mtu. Ata training zao unaweza kuomba kwenda ukalipiwa kila kitu hata kama ni nje ya nchi.Weusi kwenye kusakafia na weupe kwenye computer... Nchi za Wenzetu mzawa kwenye komputer na mgeni ndio sakafuni
Kwahiyo ulitakaje...tunapanua viwanja vya ndege tuna ndege moja tu na za viongozi,ni Aibu kwa taifa.
Hahahaha mkuu weupe wakisakafia mnaandamana mnasema wanafanya kazi za wazawa.Weusi kwenye kusakafia na weupe kwenye computer... Nchi za Wenzetu mzawa kwenye komputer na mgeni ndio sakafuni
Wewe ni zaidi ya janga, hata kama ni hizo buku7 lakini muwe mnaangalia na pa kuleta masikhara.Kwahiyo ulitakaje...
Weusi kwenye kusakafia na weupe kwenye computer... Nchi za Wenzetu mzawa kwenye komputer na mgeni ndio sakafuni
Sasa hakusikia kama zinakuja mpya 3 ? Au ndo kujitoa ufahamu. Infact mi sina chama. Mi ni mpenda naendeleo. Vitu vingine tufikiri kwanza ..tuweke siasa pembeni.Wewe ni zaidi ya janga, hata kama ni hizo buku7 lakini muwe mnaangalia na pa kuleta masikhara.
Jamaa anasikitika tuna ndege 1 wewe unamuuliza alitakaje?
Watasingizia wazawa hawana skills za kuangalia,kwenye kompyuta.
Hapo sasa ni sawa na kutukana nchi nzima... Uliza kwanza wangapi wanamaliza vyuo faculty mbali mbali na hadi sasa wapo kitaa hawna kazi wacha nikutoe mtindio wa akili yako kichwani.. Nenda pale Wizara ya Kazi omba file la watu waliokuwa rejected kufanya kazi hapa Nchini ndio utajua wageni kazi wanazoomba au walizokuwa wakifanya miaka mingi uelewe kuwa tunajibania wenyewe hakuna Nyumbu na hao wageni wengi ndio Manyumbu...Hata kama ni nyumbu hana ujuzi umuweke tu kwenye computer????
Mkuu kila kitu huwa kinakuwa na Sababu zake so It Depend na situation yenyewe...Hahahaha mkuu weupe wakisakafia mnaandamana mnasema wanafanya kazi za wazawa.
Sasa BAM ni Chuo? kama kweli wameajili weusi idara nyeti ukweli huwa haujifichiHakuna mkuu, hiyo ni office moja tu, tena sehemu ndogo ya office, watanzania wapo kibao na wanaheshimika. BAM International sio wabaguzi kama makampuni ya kihindi na kichina, jamaa wako fair sana wanajli utu wa mtu. Ata training zao unaweza kuomba kwenda ukalipiwa kila kitu hata kama ni nje ya nchi.
Pichani hapo hawaonekani MkuuW
haa haa hao wenzetu kina nani mkuu