Ujenzi wa terminal 3 katika uwanja wa mwalimu JK Nyerere umeanza rasmi..
Source.. utawala.....
Hii picha niliiona toka mwaka juzi. Nenda site picha picha tuwekee. Hizi ulizoweka hata ukipita hapo eapoti unazikuta zimebandikwa
Za mwaka juzi sio hizi kama ww ni mchunguzi mzuri ujenzi wa kwanza ulitakiwa kufanikishwa na wachina ila tukashindwana nao masharti ya kuumiliki miaka 100.... hii terminal 3 inajengwa na selikari kupitia misaada
Ujenzi wa terminal 3 katika uwanja wa mwalimu JK Nyerere umeanza rasmi..
Source.. utawala.....
Kipindi hii post inaingia watu walizingua saiv ujenzi Kikwete kauzindua juzi watu wabishi kweli
Ramani ya Mchina ndo ilikuwa ya Ukweli huu uzushi tu
nyinyi ndio mnaodanganywa na vioo na marangi ya wachina ndio maana majumba yenu yamejaa hardware fake zinazong'aa kwa muda mfupi tu na kuharibika.
Hongera mkuu naona ushaingiza siku haya kachukue chako Lumumba uendelee na maisha