JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 54,993
..JK alikuwa mbunge kwa miaka 15 lakini jimbo lake lilikuwa limechoka huwezi kuamini kwamba liko karibu na DSM.
..wasiwasi wangu na miradi kama hii ni kwamba wenjeji wa Bwagamoyo watakuwa kama watazamaji tu. ardhi yao itachukuliwa, watalipwa fidia mbuzi, na baada ya hapo watahamia sehemu nyingine yenye umasikini.
..Bwagamoyo wanahitaji bottom up approach ktk kuchochea maendeleo. wanahitaji miradi ambayo itakuwa na direct impact kwa wananchi wa kawaida wa eneo hilo kama masoko ya kisasa ya mazao, miradi ya kilimo cha umwagiliaji, kuboresha shule za msingi na sekondari na kufungua vyuo vya ufundi stadi etc etc.
..wasiwasi wangu na miradi kama hii ni kwamba wenjeji wa Bwagamoyo watakuwa kama watazamaji tu. ardhi yao itachukuliwa, watalipwa fidia mbuzi, na baada ya hapo watahamia sehemu nyingine yenye umasikini.
..Bwagamoyo wanahitaji bottom up approach ktk kuchochea maendeleo. wanahitaji miradi ambayo itakuwa na direct impact kwa wananchi wa kawaida wa eneo hilo kama masoko ya kisasa ya mazao, miradi ya kilimo cha umwagiliaji, kuboresha shule za msingi na sekondari na kufungua vyuo vya ufundi stadi etc etc.