LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
tulijengewa na MECCO hiyo Balabala toka Magomen mpaka Fire njia ilifungwa miezi 6 twapita kigogo..Salender..hao wazuri ndio waliojenga MANDELA ROAD hao hiyo Balabala ina Kazi nyingi kwa wakati 1 ndio maana wapo ivyo
Nakumbuka mkuu, barabara ikawa inapitia huku mapipa Mwinyimkuu hadi Madaba then bonde la kigogo, wakati ule vibaka walijaa sana nyakati za usiku pale bonde la kigogo kwenda msimbazi mpaka ilala na ile kampuni mkuu iliitwa KAJIMA na sio MECCO kama sikosei.