Zitaje wewe. World Bank ule hela yao halafu upewe tena mkopo? unaota.
mkuu kwa hiyo sifa ziwaendee WB au walioomba mkopo WB(ccm)
Wapewe sifa wananchi walio kubari kutoa kodi za kwa ajili ya maendeleo yao.
Na hawa ni wananchi wasikivu na wapenda maendeleo.
Kuna ukuta zaidi ya elimu? Elimu ndio msingi wa maendeleo na hicho ndicho kilikuwa hakipo kabla ya Kikwete. Wasomi wakuchaguliwa bila merits, si unaona kwa miaka yote hii ya 83/17 walipoifikisha nchi. Kikwete anabadili yote hiyo.
kwa muda wa mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia barabara za katikati ya mji wa arusha zikiwekwa lami kwa kasi ya ajabu.tukifumbia macho mambo mengine mengi tunaweza kuita haya yanayoendelea arusha nimafanikio makubwa.
Swali langu ni moja na jepesi tu,
JE KWA MAFANIKIO HAYA NI CHAMA KIPI KINASTAHILI SIFA KATI YA CCM NA CHADEMA?
Elimu elimu ili upate mkopo lzm uwe na div I au II sasa yule mtoto wa shule ya kata unategemea atapata mkopo? Elimu ya mwanafunzi anayemaliza shule ya msingi na kufaulu lakini hajui kuandika/kusoma? Elimu ya shule kibao za kata zenye walimu 2. Elimu ya wanafunzi kukaa chini au kusoma chini ya mti mvua ikinyesha masomo yanaahirishwa kama vile mwaka au muhula bado unasubiri?
Zomba acha ushabiki Jaribu kufikiri kama mzazi mwenye mtoto anayesoma kwenye hizi shule. Na ndio maana nadhani tuwe na jukwaa la kutukanana ili tuondoe stress zinazosababishwa na watu kama nyie msio waonea huruma watz wenzenu
Siwezi kushukuru au kuwasifia watu wanapotekeleza majukumu yao! tuache kusifia watu wanapotekeleza wajibu,ni jukumu lao
kwa muda wa mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia barabara za katikati ya mji wa arusha zikiwekwa lami kwa kasi ya ajabu.tukifumbia macho mambo mengine mengi tunaweza kuita haya yanayoendelea arusha nimafanikio makubwa.
Swali langu ni moja na jepesi tu,
JE KWA MAFANIKIO HAYA NI CHAMA KIPI KINASTAHILI SIFA KATI YA CCM NA CHADEMA?
nasikia huyo mkurugenzi na kundi lake wameondolewa kwa kashfa ya rushwa.Sifa apewe Mkurugenzi wa Manispaa na wataalamu wake wa wakati huo aliyejipinda mchana na usiku kuandika proposal akaiuza kwa wafadhili na wakaweka makubaliano. Usitangulize huu UJINGA (Siasa) kila mahali. Tumeachwa mbali sana na wenzetu kwa kila kitu kuwa cha Mheshimiwa. Wenzetu walioweka siasa pembeni wako mbali sana kwa sasa. Mkurugenzi, Mhandisi, afisa Mipango na wataalamu wengine ndiyo Engine iliyozaa hayo matunda. Diwani darasa la tatu aliandika nini pale kikaelewe3ka huko WB au kila kizuri lazima mtu wa siasa ajigambe kuwa ni yeye?????????? Tubadilike na tuwatie moyo watendaji. hao wana siasa ndo maadui wakubwa wa Maendeleo.
Siwezi kushukuru au
kuwasifia watu wanapotekeleza majukumu yao! tuache kusifia watu
wanapotekeleza wajibu,ni jukumu lao