Ujenzi wa barabara Arusha nani apewe sifa?

Jakaya Mrisho Kikwete kahakikisha kwanza Sekondari zinajazana kiasi hakuna kuchaguwana, kahamia vyuo vya ufundi na vyuo vikuu nako anahakikisha vinajazana na anaeingia huko ni kwa merits na si kwa kuchaguliwa.

Mkaona mbinu zenu zinapanguliwa scientifically, mkaanza hila za wazi wazi za kupunguza marks za mitihani, nalo tumewastukia. Tunakula sahani moja siku hizi. Kwi kwi kwi teh teh teh.

Kwani sisi hatujui chuki zenu kwa Kikwete ni zipi? tunajuwa sana, lakini ndio anafanya hivyo, nyie bakini na vijiba vya roho.


Nimekupata sana kwa mkakati wa kuziba ufa badala ya kujenga ukuta.
 
Nimekupata sana kwa mkakati wa kuziba ufa badala ya kujenga ukuta.

Kuna ukuta zaidi ya elimu? Elimu ndio msingi wa maendeleo na hicho ndicho kilikuwa hakipo kabla ya Kikwete. Wasomi wakuchaguliwa bila merits, si unaona kwa miaka yote hii ya 83/17 walipoifikisha nchi. Kikwete anabadili yote hiyo.
 
Kuna ukuta zaidi ya elimu? Elimu ndio msingi wa maendeleo na hicho ndicho kilikuwa hakipo kabla ya Kikwete. Wasomi wakuchaguliwa bila merits, si unaona kwa miaka yote hii ya 83/17 walipoifikisha nchi. Kikwete anabadili yote hiyo.

Ningekugongea like kama usingemtaja JK, Nina sababu mbili

1. Serikali hii haijawahi kuongozwa na chama kingine ila CCM; sasa kwa nini kunatofauti ya sera!! au fikra?

2. Elimu ya kata ni kutatua dalili ya ugonjwa siyo kutibu ugojwa kwa hiyo tusubiri kuumbuliwa na kifo kwa sababu hatujaanza kutibu ugojwa.
 
Wapewe sifa wananchi walio kubari kutoa kodi za kwa ajili ya maendeleo yao.
Na hawa ni wananchi wasikivu na wapenda maendeleo.
 
Ningekugongea like kama usingemtaja JK, Nina sababu mbili

1. Serikali hii haijawahi kuongozwa na chama kingine ila CCM; sasa kwa nini kunatofauti ya sera!! au fikra?

2. Elimu ya kata ni kutatua dalili ya ugonjwa siyo kutibu ugojwa kwa hiyo tusubiri kuumbuliwa na kifo kwa sababu hatujaanza kutibu ugojwa.

Kumbuka kuwa Urais wa Tanzania kama ulivyo, una mamlaka makubwa sana, na ndio maana kila lifanywalo anatazamwa Rais. Alipokuwa Nyerere tumeona kuwa hakuna alichokifanya zaidi ya kuiwacha hii nchi masikini wa kutupwa kwa miaka 24. Mwinyi kaja kuifunguwa mpaka akaitwa mzee Ruksa, Mkapa kaja kuuza nyumba za Serikali na kujilimbikizia mali na kufanya madudu yote ambayo leo hii yamekuwa gumzo kubwa, kuanzia radar mpaka EPA.

Kikwete kaja kuweka sawa yote hayo, kila anachokifanya anahakikisha kina manufaa ya Taifa hili. Kumbuka kujenga ni kugumu kuliko kubomoa. Nyerere aliibomoa hii nchi, Mwinyi kaja kuwapa watu afueni, Mkapa akaja na mdudu yote hayo. Kikwete anajenga palipo bomolewa na anajenga kwa vizazi vijavyo. Elimu, Mabarabara, Ma zahanati, Utalii, Demokrasia, hakuna aliyemzidi Kikwete katika vyote hivyo.

Ataekuja baada yake atakuta misingi na mpaka rinta nzuri iliyokwisha wekwa na Kikwete (ambayo ilibomolewa kabisa na kuanzia Nyerere) na yeye itakuwa ni kuendeleza tu lakini hakuna jipya atakaloanzisha ambalo Kikwete hajalifanyia kazi.

Tunamtaka Lowassa awe Rais ajae akigombea, au Zitto kutoka upinzani, hawa wana angalau afadhali ya muono kidogo. Ingawa wana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa Kikwete.
 
kila mtu anjibu katika hilo na siyo siasa bali ni baada ya mabadiliko ya uongozi kwan iuongozi uliokuwepo mwanzoni wa magamba ulishindwa kufanya maamuzi kama hayo.
Big up chadema
 
Ushaambiwa juu huko ni mkopo wa World Bank ulioombwa zamani za sasa umefanikiwa, ni kipi unachoshindwa kuelewa?

Na zile Kilomita zaidi ya 11,000 Tanzania nzima ni shinikizo pia? Nenda kaone Singida mitaa yote inatiwa lami, Magufuli anakwambia katika Afrika kwa sasa Tanzania ndiyo inaongoza kwa miradi ya barabara za lami, uko wapi wewe?

N ama highway yanayokuja Dar? au hujapita Morogoro Road Dar., kuona ujenzi ulivyoanza kwa kasi?

Ma highway yanakuja lini 2015 au?
 
kila mtu anjibu katika hilo na siyo siasa bali ni baada ya mabadiliko ya uongozi kwan iuongozi uliokuwepo mwanzoni wa magamba ulishindwa kufanya maamuzi kama hayo.
Big up chadema

Tunawasifu sana madiwani wa chadema kusimamia sera za CCM.
 
sifa wapewe CHADEMA kwa kuwaajibisha magamba.Hebu tafakarini CHADEMA isingekuwa na nguvu magamba wangeifanyeje nchi
 
Barabara hizi ni maendeleao ya jiji letu la Arusha we need good roads here is nothing to do na road to Tabora na Iringa au Tabora na Mbeya peleka malalamiko yako wa hizo road za taifa kwa Makufuli
 
Wanatengeneza au wanaweka mahandaki mji mzima? Huu si ujenzi huu, utadhani hatuna mhandisi wa manispaa! Y wasijenge moja wamalize wahamie nyingine?
 
taxpayers!!!!!!

safi tupewe walipa kodi, ziende kwa Chadema na Lema, maana baada ya kumuondoa lema wanataka kufanya mabadiliko kabla uchaguzi haujarudiwa ili wapate cha kuwahadaa wananchi kwamba Lema hakuwa na maana yeyote ndiyo maana hata alipokuwa amevuliwa ubunge CCM wameweza kufanya mabadiliko jambo ambalo kwa Arusha hii ninayoifahamu hawataweza kamwe hata JK aache uraisi agomaee ubunge Arusha hataupata kamwe. CCM wapo ndotoni wakiamka watajitambua na sisi hatuna mda wa kuwasubiria waamke.
 
ritz zomba kujengwa kwa barabara za Arusha na miji mingine kama Mbeya, Mtwara, Mwanza, nk ni juhudi za serikali ya awamu ya nne. Barabara hizi zinajengwa kwa msaada wa IDA wala siyo juhudi za madiwani ama vipi ni juhudi za serikali kuu. utaona mradi huu unatekelezwa kwenye miji mingi tu. Pale Arusha kuna barabara kama vile ya makao mapya na nyingine. Hapa Dar utaona kuna barabara kama za ADA estate, pale makimbusho kwenda makaburi ya wahindu, nk. Twende mbele turudi nyuma JK amejitahidi sana kwenue barabara japo kuna matatizo madogomadogo ya kiutekelezaji.
 
Last edited by a moderator:
zomba naona nimekufikisha!unadhani bila
uwepo wa chadema arusha barabara hizi zingejengwa au hizi fedha zingeishia mikononi mwa mafisadi?

Mkuu meningitis pesa za hivi vyombo vya fedha vya kimataifa kama IDA/WB, ADfB, nk. ama mashirika makubwa ya misaasa si rahisi kuliwa hovyohovyo. Jamaa wana control za kufa mtu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom