mabuba
Senior Member
- Dec 5, 2006
- 133
- 90
Wakuu je maeneo ya mwembe mdogo inakuwaje haya maeneo yapo powa kununua au hayafai kununua???na maeneo gani ambayo kwa sasa yanafaa kununuliwa???
Naombeni msaada wenu
Njoo tu Mwembemdogo ni salama
Wakuu je maeneo ya mwembe mdogo inakuwaje haya maeneo yapo powa kununua au hayafai kununua???na maeneo gani ambayo kwa sasa yanafaa kununuliwa???
Naombeni msaada wenu
Njoo tu Mwembemdogo ni salama
Ni mradi mzuri kwa Dr.Dau kustaafu nao hapo atakula kiulaini.Dr.Dau kaekeza sana kigamboni ndiyo maana hata daraja ni muhimu sana kwake kuliko
Mh.mbunge hebu tujuze kuhusu upanuzi wa barabara toka feri hadi kimbiji na kongowe.maana juzi natokea mji mwema usiku karibia kugongana barabara ni finyu.hiyo inatakiwa walau njia 6 kwa kuanzia
Wana jamvi kuna mradi mkubwa wa ujenzi wa magorofa unaendelea Kigamboni. Ni Kigamboni ndandani mbele Zoo. Wengi wa wafanyakazi ni wazungu wenye asili ya Kigiriki. Kazi inafanyika usiku na mchana. Wenye ukweli kuhusu mradi huo mtujuze. Karibuni wanajamvi.
Pia mheshimiwa mbunge naomba utujuze mipango iliyopo ya kufikisha umeme mwasonga
Asante ndugu mbunge.niulize jambo dogo.je makadirio ya fidia na ujenzi yanakadiriwa kuwa trilion ngapi.umesema wananchi hawakopesheki je hii ni kigamboni yote au eneo la mji mpya tu.pili umesema zuio lilikoma tangu 2010 sasa kwanini usihamasishe watu kuendelea na ujenzi
Kuna jamaa zangu kisarawe 2 wametaka kupima wakaambiwa hakupimiki.hata mimi nimenunua eneo kisarawe 2 surveyor wa temeke akaniambia siwezi kupima labda nito rushwa kubwa hii imekaaje mkuu
Mh.mbunge je hizi nyumba 7000 ni za kuuza. Kupangisha au kukopesha.lakini je vipi huduma zingine za msingi humo ndani ni zipi.nakumbuka bango lake kama Nssf haonekani au sikusoma vizuri
Mh.mbunge hebu tujuze kuhusu upanuzi wa barabara toka feri hadi kimbiji na kongowe.maana juzi natokea mji mwema usiku karibia kugongana barabara ni finyu.hiyo inatakiwa walau njia 6 kwa kuanzia