Hivui karibuni kumezuka mtindo wa kubomoa majengo ya zamani ambayo yalikuwa ghorofa nnne au chini ya hapo na kujenga mapya yenye ghorofa 8 kwenda juu, sasa ningependa kujua kwamba, wataalamu wetu pamoja na viongozi wanao toa building permit, je ujenzi huo unafuatana na city master plan au ndio bora liende?
Pili ujenzi huo unaenda na uwezo wa miundo mbinu yetu? au na hapa ndio hivyo kifo cha wengi , maana sasa hivi tu bila kuongeza hayo majengo kuingia au kutoka city centre ni shughuli.
Kwanini tusifuate mfano wa Stanbic ambao atleast wamejaribu kutoka katika msongamano wa city centre. Je wenzetu wakienda hizo study tour huwa wanajifunza nini?
Kwa mfano kwa wenzetu mtu akitaka kujenga au kubadili jengo, kwanza lazima awaeleze majirani ili mwenye duku duku atalitoa, pili linahusu aina ya majengo yanayo ruhusiwa sehemu fulani eg jengo lisizide ghorofa 4 au tano ukitilia maanani ongezeko la watu na huduma nyingine ikiwa jengo litakuwa la ghorofa 8 na kuendelea.
Pili ujenzi huo unaenda na uwezo wa miundo mbinu yetu? au na hapa ndio hivyo kifo cha wengi , maana sasa hivi tu bila kuongeza hayo majengo kuingia au kutoka city centre ni shughuli.
Kwanini tusifuate mfano wa Stanbic ambao atleast wamejaribu kutoka katika msongamano wa city centre. Je wenzetu wakienda hizo study tour huwa wanajifunza nini?
Kwa mfano kwa wenzetu mtu akitaka kujenga au kubadili jengo, kwanza lazima awaeleze majirani ili mwenye duku duku atalitoa, pili linahusu aina ya majengo yanayo ruhusiwa sehemu fulani eg jengo lisizide ghorofa 4 au tano ukitilia maanani ongezeko la watu na huduma nyingine ikiwa jengo litakuwa la ghorofa 8 na kuendelea.
Last edited by a moderator: