Halmashauri ya Kinondoni IMEOZA ,imejaa watendaji wabovu na wala rushwa; wao ndio wanaoharibu ramani za mji kwa kufanya CREATIONS za viwanja sehemu za wazi na pia kufumbia macho wenye pesa wanapojenga mpaka kuziba barabara za watu kupita; Mfano mzuri ni pale Jangwani beach mtu amejenga ukuta maksudi na kuziba barabara na malalamiko ya wananchi mpaka kwa waziri hayajafanyiwa kazi.!!Iliyobaki sasa ni wanannchi kujichukulia shera mkononi na kuvunja hizi kuta.
Africa sana ni Sinza mkuu.Hivi Afrika Sana ni Sinza ama Mwenge?
Mimi miaka yote napajua kama Mwenge!