Ujenzi Bongo

Keren_Happuch

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
1,874
935
Jamani hebu oneni hii nyumba... sielewi hizo ngazi ni kwa ajili gani! mhhh kweli tuna wajenzi bongo!!
163707_472825759226_586609226_5878632_4284019_n.jpg
 
hata urembo ni sababu ya kuwepo,waache wajenzi wajenge ..........wasafiri wasafiri..................washangaao washangae..... HAYO NDIO MAISHA
 
hizo ni ngazi za dharula, in case kama kuna moto ama kitu chochote na watu wakashindwa kutumia lift ama ngazi za ndani bsi hizo ngazi hutumika
 
hizo ni ngazi za dharula, in case kama kuna moto ama kitu chochote na watu wakashindwa kutumia lift ama ngazi za ndani bsi hizo ngazi hutumika
Mkuu umeiangalia vizuri lakini hiyo ngazi?
 
je umeziona ngazi zinazotokea chini? zinaelekea wapi? ukiweza kunijibu hapo basi nitakukubali
hizo ni ngazi za dharula, in case kama kuna moto ama kitu chochote na watu wakashindwa kutumia lift ama ngazi za ndani bsi hizo ngazi hutumika
 
Back
Top Bottom