Chona
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 523
- 360
Wakuu nimejaribu kwa muda wa week nzima sasa kujaribu kujaza form za mkopo kwa ajili ya ya ndg yangu anayetarajia kujiunga chuo mwaka huu. Licha ya kufanikiwa kupata Password na username baada ya kujaza preliminary information lakini imeniwia vigumu ku log in tena. Kila nikijaribu ku log in naambiwa
Sorry, either your username or password is not valid!
Lakini nikiangalia username ipo sahihi na katika mfumo uleule wanaoutumia yaani
(e.g. S0143.0078.1990). Licha ya kupewa option ya kureset password kwa kuchagua swali nililoulizwa na kutakiwa kujibu jibu lile lie nililojaza, nimefanikiwa kupewa password mpya lakini nazo nikizitumia hazinisaidii zaidi ya kupewa message hiyo juu. Sasa najiuliza tatizo liko wapi?
Nimejaribu kufill upya form naambiwa hiyo namba ipo regestered tayari kwa sababu ni ileile. Nikireset password inakubali na napewa nyingine ila nikiitumia hainiwezeshi kufungua ili niendelee kujaza form.
Je kuna mtu amekumbana na tatizo kama hili?
Je kuna mtu anajua jinsi ya kulitatua anisaidie!
Nimejaribu kupiga simu kwenye hizo number walizotoa kwenye website yao kwa wanaohitaji msaada lakini hazikupatikana zote na hapo ilikuwa mchana ndani ya muda wao wa kazi.
Nisaidieni ili niwezekumsaidia huyo mtu na jinsi ya kumsaidia ni lazima nijaze form za bodi ya mikopo.
Sorry, either your username or password is not valid!
Lakini nikiangalia username ipo sahihi na katika mfumo uleule wanaoutumia yaani
(e.g. S0143.0078.1990). Licha ya kupewa option ya kureset password kwa kuchagua swali nililoulizwa na kutakiwa kujibu jibu lile lie nililojaza, nimefanikiwa kupewa password mpya lakini nazo nikizitumia hazinisaidii zaidi ya kupewa message hiyo juu. Sasa najiuliza tatizo liko wapi?
Nimejaribu kufill upya form naambiwa hiyo namba ipo regestered tayari kwa sababu ni ileile. Nikireset password inakubali na napewa nyingine ila nikiitumia hainiwezeshi kufungua ili niendelee kujaza form.
Je kuna mtu amekumbana na tatizo kama hili?
Je kuna mtu anajua jinsi ya kulitatua anisaidie!
Nimejaribu kupiga simu kwenye hizo number walizotoa kwenye website yao kwa wanaohitaji msaada lakini hazikupatikana zote na hapo ilikuwa mchana ndani ya muda wao wa kazi.
Nisaidieni ili niwezekumsaidia huyo mtu na jinsi ya kumsaidia ni lazima nijaze form za bodi ya mikopo.