Heeelllow wana j to the f.
Yaani ukiambiwa uswazi kuna vituko,basi ndo hivi:-
si unajua wajawazito hupendelea vitu mbalimbali ambavyo kabla ya ujauzito alikuwa hatumii mf.udongo,mkaa,chumvi,mchele nk.sasa mke wa jamaa hapa mtaani mimba yake imependa kuvuta sigara.(prev.alikuwa havuti).ila sasa hivi anakamua hata pkt 2 kwa siku.
Nikiripoti kutoka hapa nilipo,ni mm wenu wa kitaa.
Yaani ukiambiwa uswazi kuna vituko,basi ndo hivi:-
si unajua wajawazito hupendelea vitu mbalimbali ambavyo kabla ya ujauzito alikuwa hatumii mf.udongo,mkaa,chumvi,mchele nk.sasa mke wa jamaa hapa mtaani mimba yake imependa kuvuta sigara.(prev.alikuwa havuti).ila sasa hivi anakamua hata pkt 2 kwa siku.
Nikiripoti kutoka hapa nilipo,ni mm wenu wa kitaa.