Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 1,934
- 1,400
jamani mnakumbuka kuhusu yule mpenzi wangu wa humu kutokana na hali ya ujauzito nilionao
na swala la kufunga ndoa ,inabidi tupime afya zetu kiukweli naogopa sana jamani nisaidieni naona furaha yangu inapotea ghafla
Hujiamini nini? Au ulishadokoa dokoa sana pekupeku nini? Acha woga dada, mtumaini Mungu ya kuwa umzima wa afya , lakini pole eenhe!