Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Kwa ujumla, mbabe ndiyo anayetawala na kula matunda ya mnyonge, japo mnyonge huyo haachi kujitutumua. Ni kawaida pia baadhi ya wajanja kutumia mianya iliyopo katikati ya wanyonge na watawala kujineemesha. Mitindo yote ya kupata neema na faida haitengenezwi kwa asilimia kubwa na njia halali.
 
Kinachoitwa haramu kwa upande mwingine ni halali na sifa kubwa katika upande pinzani. Majasusi, wadukuzi, wazandiki na magaidi hufurahia sana kila mipango yao inapofanikiwa. Kwa maana hiyo serikali na majeshi yao huendesha na kufundisha kwa kina watu wao haya madudu yanayoonekana haramu kwa wapinzani wao.
 
Wakati kuna mfumo dhabiti au legelege wa sheria, idara za serikali zinazohusika na usalama mara zote hutenda vitendo vya sheria nje ya ganda ambako umma umeaminishwa kuona, lakini nyuma ya pazia kuna vitendo vingi vya kihuni na dhambi za hali ya juu vinavyoidhinishwa na kakundi kadogo sana ka watu waliopewa mamlaka na sheria hizo hizo zinazopinga dhambi.
 
Rushwa, tamaa ya mali, undugu, madhambi ya mauaji na kuwafunga watu kwa kuwaonea kwa tamaa ya madaraka, n.k. husababisha mifumo halisi ya Ujasusi na mingine inayoshabihiana nayo kuhama katika utaratibu halisi wa kisheria unaoongoza taasisi hizo katika nchi na kumilikiwa na watawala wang'anizi wa madaraka, wanaokumbuka waliyoyatenda katika vipindi vyao halali, hivyo kudhani kuwa wakiwaachia wengine nafasi zao za maamuzi watawalipizia visasi.
 
Matokeo yake ni kujenga mifumo hiyo kwa mitizamo ya kikabila, kindugu na kirafiki ili kuendeleza utawala wao wa mabavu.
 
Ujasusi na upelelezi kwanza hujengwa na tamaa binafs ya jasus au mdukuz na mpelelez ya kutafuta habar na pia hufurahia kufanya hivyo
Vitendo hiv hata vipingwe na serikal au sheria watendaj bado hujiona wenye haki
 
Ujasusi na upelelezi kwanza hujengwa na tamaa binafs ya jasus au mdukuz na mpelelez ya kutafuta habar na pia hufurahia kufanya hivyo
Vitendo hiv hata vipingwe na serikal au sheria watendaj bado hujiona wenye haki

Tamaa binafsi ya Jasusi, Mpelelezi au mtu yeyote anayefanya kazi zinazoshabihiana huwa za aina tatu hasa kwa mtu aliyefundishwa na kuiva. Kwa kuwa umewahi kuliko mimi basi ngoja nikujulishe tu aina hizo za tamaa.
 
Bila shaka kiongozi spade 4spade cos sina uelewa wa taaluma hii bali natumia akili ya kuzaliwa na uzoefu binafs
Karibu tusemezane
 
Tamaa ya kwanza ni uzalendo halisi wa nchi au kikundi anachokitumikia. Kwa mafunzo yake na ujuzi wa mambo na uzalendo wake wa kutenda kazi na kuzalisha faida ya kazi yake katika nchi au kundi analofanyia kazi, mtu hujaa ujasiri na ushupavu wa kutenda zaidi ya uwezo wake hata kama anahatalisha maisha.
 
Tamaa ya pili ni ile inayochochewa na takrima ya fedha, madaraka, sifa, urithi au matukio fulani ya nyuma yanayomgusa mhusika moja kwa moja.
 
Tamaa ya kijinga na kiherehere tu kisicho na maana cha kujitangaza katika jamii na kujionyesha kuwa na wewe wamo hata kama huna uwezo huo.
 
YA mwisho imegawanyika Kwa makundi mawili ya ujasusi, upelelezi na udukuzi
Kwanza n kujionyesha kuwa na uwezo, na kutenda mambo expedition ambayo hupenda kuonekana Kwa wenzao na si jamii na kund la pili ndio wanaoishi Kwa kiherere na kujionyesha Kwa watu



Kundi la kwanza n born as spy and pili n made to be spy
 
YA mwisho imegawanyika Kwa makundi mawili ya ujasusi, upelelezi na udukuzi
Kwanza n kujionyesha kuwa na uwezo, na kutenda mambo expedition ambayo hupenda kuonekana Kwa wenzao na si jamii na kund la pili ndio wanaoishi Kwa kiherere na kujionyesha Kwa watu



Kundi la kwanza n born as spy and pili n made to be spy

Yap, nilisahau kuandika ya tatu lakini nilimaanisha hiyo ya mwisho niliyoandika. Nilikuwa nachambua kuhusu serikali kuwa na idara za ujasusi, udukuzi na zingine zinazoshabihiana.
 
Kwa kuongezea nyama kidogo. Fedha na Blackmail ni njia moja wapo ya organization fulani kujipenyeza kwenye nyingine. Agents wa organization moja wana wa assess watu wa organization nyingine ambao ndo hasa wana interest nao. Interest utokana na how close hao agents au analysts wanaokuwa assessed wapo karibu na information inayotakiwa. Huwa wanaangalia weakness za mhusika. Kma ni mtu wa kupenda sana maisha ya juu basi hiyo ndo gia watayomuingia nayo. Watampa offer ambayo hawezi kukataa. Kwenye upande wa blackmail wanaangalia labda kuna kitu mhusika anacho ambacho amaekifanya siri kwa mwajiri wake na mbacho muajiriwa anaweza akapoteza kazi yake kwa hiyo yupo tayari kufanya lolote kuhakikisha siri haitoki. Kwa hiyo wakifanikiwa kumturn muhusika then mhusika ataaanza kuwapa information in exchange ya aidha fedha au siri yake kuendelea kulindwa. At that point mhusika anakuwa ni mole ndani ya organization aliyoajiriwa na upande wa pili ya ambao ndo wanahitaji information anakuwa ndo kama asset wao. Huyu asset anakuwa assigned mtu anajulika kama handler ambaye ndo kazi yake kuhakikisha ana maintain mawasiliano na huyu Asset kwa kufuata muongozo fulani ambao unakuwa umetengenezwa na hiyo organization. Kama ulivyosema ujasusi huwa haushishiii kwenye serikali tu. Big companies zinachunguzana ili kujua trade secrets za mwingine. Kwa Tanzania ujasusi upo kiserikali. Unapokuwa mtu prominent au taasisi kubwa au hata chama cha siasa chenye mwelekeo wa kushika dola kuchunguzwa ni muhimu. Kwa hiyo chama kama Chadema lazima wafuatiliwe kujua agenda zao.
amazing sana
 
Hao ni invisible, kazi yao ni kufuatilia nyendo za waziri tu,

Sheria ya TISS ya mwaka 96 ndio inayoruhusu uozo mwingi nchini. Sheria hii haimruhusu afisa usalama kuchukua hatua za kuzui jambo lolote hata kama ni la hatari. Sheria inamtaka afisa huyo kuzishauri mamlaka nyingine ili zichukue hatua, pia sheria hiyo haimlazimishi anayeshauriwa kutekeleza,yani hapo matakwa yamshauriwa ndio uamzi wa kila kitu.
mkuu Yericko Nyerere kwenye hayo maandishi niliyokoleza, hauoni kama ni vema kwa jasusi kulinda cover yake kwa kutochukua hatua yoyote ya moja kwa moja zaidi ya kufahamisha mamlaka husika za kisheria (law enforcement agencies) kama police and the like? au huo nao ni uozo wa sheria ya T.I.S.S ya mwaka 1996???!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom