Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Yeriko nimefuatilia kuna upotoshaji mkubwa na ulivyoanza mada kwa mbwembwe utafikiri ni mbobevu nafikiri SAA hizi huko mtaani unavaa suti nyeusi mikono mifupi off course wasiojua haya mambo na hiki kimada uchwara unakula respect usio deserve .kifupi kwa watalaam wenyewe wanakuona mbugila na ukiona mtu anakusifu jua umemungiza chaka ni sawa Leo mie sio factor nikajifanya kuchambua magonjwa ya kina mama nikijifanya specialist hivi wenyewe ma Dr wakisoma wananionaje.......tafakari Yeriko ficha upumbavu wako au unategemea mtaji wa umaarufu wa jina nyerere na uelewa mdogo wa hadhila yako tafakari zaidi njoo inbox nikuonyeshe in jinsi gani uko mbali na ukweli
 
Yeriko nimefuatilia kuna upotoshaji mkubwa na ulivyoanza mada kwa mbwembwe utafikiri ni mbobevu nafikiri SAA hizi huko mtaani unavaa suti nyeusi mikono mifupi off course wasiojua haya mambo na hiki kimada uchwara unakula respect usio deserve .kifupi kwa watalaam wenyewe wanakuona mbugila na ukiona mtu anakusifu jua umemungiza chaka ni sawa Leo mie sio factor nikajifanya kuchambua magonjwa ya kina mama nikijifanya specialist hivi wenyewe ma Dr wakisoma wananionaje.......tafakari Yeriko ficha upumbavu wako au unategemea mtaji wa umaarufu wa jina nyerere na uelewa mdogo wa hadhila yako tafakari zaidi njoo inbox nikuonyeshe in jinsi gani uko mbali na ukweli

Nadhani ungejikita kwenye kujadili mada badala yakuja na personal attacks, sisi tulioifuatilia hiyo tunakuona wewe ndio mbugila
 
Ila kuna jamaa hapa kaleta mada ya nyuklia yule kweli in mtalaam wa atomic kwa jinsi anavyoelzea mada kitaalamu kumbuka hili jukwaa watu hujifunza let's mada zenye TBS kukuongezea knowledge njoo inbox nikupe kidogo tu afu kama ukipenda utakuja kumwaga jukwaani au utabaki nayo kwa faida yako kuliko huu upotoshaji wa fani za watu don't expose ur stupidity man na kusoma novel zako za shigongo hili jukwaa ni zaid ya unavyolifiria sio fb huku ukijua huu wenzio wanajua ule sio wote hapa ni narrow minded kama ulivyoleta hii mada wasio jua wanakuita eti kichwa .........aibu
 
Sasa nijikite vipi ktk topic ambayo imeandikwa kilayman kama hii ndugu nitonye unahitaji kudoble check sio kila elim unayopata mitandaoni in sahihi maana wengi wanasema eti ni mada nzuri bila kujua alieileta anauelewa gani juu ya hiki
 
Yeriko nimefuatilia kuna upotoshaji mkubwa na ulivyoanza mada kwa mbwembwe utafikiri ni mbobevu nafikiri SAA hizi huko mtaani unavaa suti nyeusi mikono mifupi off course wasiojua haya mambo na hiki kimada uchwara unakula respect usio deserve .kifupi kwa watalaam wenyewe wanakuona mbugila na ukiona mtu anakusifu jua umemungiza chaka ni sawa Leo mie sio factor nikajifanya kuchambua magonjwa ya kina mama nikijifanya specialist hivi wenyewe ma Dr wakisoma wananionaje.......tafakari Yeriko ficha upumbavu wako au unategemea mtaji wa umaarufu wa jina nyerere na uelewa mdogo wa hadhila yako tafakari zaidi njoo inbox nikuonyeshe in jinsi gani uko mbali na ukweli

Ndugu yangu, ikiwa umeona kunaupotoshaji ni bora kwa faida ya wanajamvi urekebishe hapahapa.

Aheri upumbavu unaoonekana ili urekebishwe kuliko upumbavu uliojificha.
 
Ndugu yangu, ikiwa umeona kunaupotoshaji ni bora kwa faida ya wanajamvi urekebishe hapahapa.

Aheri upumbavu unaoonekana ili urekebishwe kuliko upumbavu uliojificha.

Yericko, kichwa chako cha habari ni kizuri lakini hakuna ufafanuzi wa kutosha ulioutoa. Kwa sababu jukwaa hili lina watu wabaya wanaotumia uhuru huu kutukana wengine, ni dhahiri kwamba baadhi yao wanatoa maneno yankashfa bila kujua kuwa hapa pia ni mahala pa elimu. Uwasamehe na tuendelee na yetu.
 
Ngoja kwanza tuanze na maana moja moja ya mada ulizotaja ndio tuje tuone iwapo kweli ni hatari.
 
Ujasusi kwa kiingereza unaitwa Espionage, niko na kazi nyingi hivyo nitakuwa nafafanua kidogo kidogo kwa kuchukua mifano halisi iliyotokea hapa tz na nje ya nchi na wakati mwingine tutajumuisha matukio yanayoonekana ya kawaida lakini nyuma ya pazia ni makubwa na ya hatari katika Usalama wa taifa. Tahadhari ni kwamba hatutatoa kitu chochote kinachodahili usalama wa tz, au mfumo wa kisheria ama siasa za nchi.
 
Ujasusi ni wizi wa taarifa muhimu za wapinzani au washirika wenza kwa njia zote haramu zinazofanywa na serikali, wafanyabiashara, magenge hasimu, marafiki au makundi ya wahalifu kwa lengo la kufanya hujuma, kuendeleza mifumo ya intelijensia, kubadili mifumo ya uchumi, kujua na kukariri mifumo yenye faida isiyokuwepo n.k.
 
Upelelezi ni ukusanyaji wa taarifa na ulinganifu wa taarifa hizo kwa mchujo ili kutanzua jambo lililojificha. Taarifa zilizozidi baada ya jambo hilo hutunzwa kwa matumizi ya baadaye au huungwa na jambo lingine lililopita, lililopo au lijalo.
 
Udukuzi (hacking) ni ujasusi unaotumia mfumo wa intaneti na mawasiliano kupata taarifa, kuharibu nyaraka au kuvuruga mfumo wa mawasiliano na nyaraka za watu wengine kwa njia haramu.
 
Ili kujilinda, kuendelea kiuchumi, kuhujumu mipango ya wapinzani katika shindani au katika kuzuia kuandamwa, kujua uelekeo wa jambo fulani la hatari au raha na mambo mengine, ni lazima kupata taarifa kwa njia yoyote ile. Taarifa nyingi muhimu hufichwa na wenye nazo na hivyo ni asilimia 95 ya taarifa hizo hupatikana kwa njia haramu.
 
Kwa vyovyote vile dunia hii tangu iumbwe biashara ndiyo kiongozi wa kila kitu. Na wafanyabiashara wote hawapendi hasara wala usawa. Biashara ndiyo hali halisi ya maisha ya binadamu. Sifa, majigambo, dharau na ubabe unatokana na jinsi unavyofanikiwa katika biashara zako. Kwa maana hii biashara chache sana kiasi cha 5% tu ni halali katika dunia hii. Ukiangalia sana hii dhana utaona kuwa biashara inashabihiana na upataji taarifa kwa asilimia zote. Hivyo mipango yote inayotengenezwa katika biashara hupatikana na kufundishwa katika upatikanaji wa habari.
 
Mifumo yote ya kijasusi, kipelelezi, kidukuzi, kizandiki, hujuma, kigaidi na mipango ya mapigano asilia ya kijeshi huhitaji habari sahihi ambazo hazipatikani mahali pamoja na kwa wakati mmoja. Pengine kwanini uasi dhidi ya serikali, mapigano ya wenyewe kwa wenyewe katika nchi moja na uhaini vilivyokuwa maarufu sana miaka ya nyuma vimepungua na kuhamia katika Ugaidi wa kimataifa kunatokea leo vikiungwa mkono na teknolojia rahisi ni suala ambalo pia linaweza kuingia katika mjadala huu.
 
Mifumo ya serikali zote duniani, magenge yote yawe ya biashara au uhalifu na kila aina ya kikundi popote katika sayari hii vimekaa katika mfumo wa changu ni changu na chako chetu. Hali hii husababisha kiu ya kupata habari na taarifa muhimu na za siri dhidi ya kundi lingine huku kila kundi likijitahidi kuficha taatifa zake kwa mifumo mbalimbali kama vile utengenezaji wa sheria kali dhidi ya utoaji habari, uwekezaji wa mifumo dhibiti ya kielektroniki na utoaji wa adhabu kali dhidi ya watoa habari wasio na ruhusa.
 
Binadamu amezaliwa mbinafsi, bora kuliko yeyote akipenda kunyenyekewa na kuwaona wengine wakimhusudu kana kwamba bila yeye haiwezekani wakaishi. Kila mtu anafanya hivyo kwa nchi yake au kundi lake awe maskini au tajiri. Viongozi wote katika makundi huachiwa maamuzi ya maendeleo na maisha ya waongozwa. Kuongoza huhitaji habari na taarifa muhimu zilizopatikana kihalali na kiharamu ili kuweza kuongoza na kuishi vyema katika maeneo yao.
 
Kwanini Ujasusi, Udukuzi, Uzandiki, Hujuma na Ugaidi ni haramu? Je, vitendo hivi haviendeshwi na Serikali kwa kuwa ni haramu?
 
Back
Top Bottom