Ajira ni ngumu mno,elimu yetu ipo katika nadharia na si vitendo.Je ujasiriamali wataka vigezo gani kwani ni muda nasikia ila sijui kwa mapana yake.NATAMANI KUWA MMOJA WAPO!Nafsi imeridhia na niradhi kukabiliana na changamoto.Kwa mlio wajasiriamali mlianzaje?Je pesa au nia iliyothabiti ndo inayotakikana?