20th May 2010
Vilio, simanzi na majonzi, vilitawala jana katika eneo la Vingunguti Faru, jijini Dar es Salaam, wakati wa shughuli za mazishi ya miili ya mfanyabiashara, Fadhili Adam na mganga wa tiba za jadi aliyefahamika kwa jina moja la Musa, waliouawa kwa kupigwa risasi na majambazi.
----------------------
Mwema alipopewa ukamanda wa mkoa wa Dar alisaidia sana kutuliza vitendo vya ujambazi.Lakini sasa naona majambazi wameanza tena.
Mwema alipopewa ukamanda wa mkoa wa Dar alisaidia sana kutuliza vitendo vya ujambazi.Lakini sasa naona majambazi wameanza tena.
Yaonekana mwema ameshindwa kazi.
Serikari ifanye nini?
Source: Ipp media 20/05/2010