Kuna sehemu nimesoma kuhusu hii title.
Wafugaji wengi wa Cameroon wamefilisika kwa kuingizwa kwa wingi nyama ya nguruwe kutoka nchi za Ulaya.
Nyama zenyewe ni mikia ya nguruwe, masikio, vichwa, utumbo na vitu vingi vya ndani ambavyo watu wa Ulaya hawali bali waafrika.
Wanavileta Cameroon matani kwa matani nakuuza kwa bei ya chini kabisa kiasi kwamba wafugaji wa Cameroon wanashindwa na ushindani wa nje hadi kufilisika kwani hawana wanakuwauzia nguruwe zao.
Uingizaji huo wa mabaki ya nguruwe yenye bei nafuu umesababisha kuwakosesha vijana wengi waliokua wanapata ajira kwa wafugaji wa ndani kwa kiasi cha asilimia 67% na wafugaji wengi wa ndani kufilisika.
Haikushia hapo, nchi za Ulaya sasa zinaingiza pia kuku wa bei rahisi ili kuwamaliza kabisa wafugaji wa ndani.
Haya wana forum mnalionaje hili?
Wafugaji wengi wa Cameroon wamefilisika kwa kuingizwa kwa wingi nyama ya nguruwe kutoka nchi za Ulaya.
Nyama zenyewe ni mikia ya nguruwe, masikio, vichwa, utumbo na vitu vingi vya ndani ambavyo watu wa Ulaya hawali bali waafrika.
Wanavileta Cameroon matani kwa matani nakuuza kwa bei ya chini kabisa kiasi kwamba wafugaji wa Cameroon wanashindwa na ushindani wa nje hadi kufilisika kwani hawana wanakuwauzia nguruwe zao.
Uingizaji huo wa mabaki ya nguruwe yenye bei nafuu umesababisha kuwakosesha vijana wengi waliokua wanapata ajira kwa wafugaji wa ndani kwa kiasi cha asilimia 67% na wafugaji wengi wa ndani kufilisika.
Haikushia hapo, nchi za Ulaya sasa zinaingiza pia kuku wa bei rahisi ili kuwamaliza kabisa wafugaji wa ndani.
Haya wana forum mnalionaje hili?