Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Ndugu zangu wapenzi wa simba
ni vyema mkasahau yaliopiya kama nduguzetu wa libya walivyomsahau mwenzao gadafi na leo wanahangaika kutengeneza nchi ingawa nassikiliza mtumishimmoja anaitwa td joshua anasema ameona jana watu wakiendelea kupigana bastola na mungu atusaidie
ndugu zanguni najua leo mmelala kamasio kuamka mkiwa na huzuni lakini ni vyema niweke wazi huu wimbo mliouanzisha kila sehemu ati okwi amewauza,na sababu halisi ni uhusiano wake na mtoto rais riz-1
sidhani owki alicheza mwenyewe jamani;;ifike sehemu tuwe huru wale wachezaji kuwa na uhusiano na watu wa yanga sio mbaya wale ni bindamu kama wengine..je mnajua anamsaidiaje mpaka mnalalama..na kama mliona ameshindwa kuwafunga yanga kwa nini amemalza dk 90??hamuwoni tatizo ni kwa kocha wenu asiejua ni nani anaitajika na kwa muda gani
kama okwi angekuwa beki ningekuwa na maneno ya kusema kwa sababu david mwape alianza kumchambua beki mmoja mmoja na kumfwata kaseja na akapewa dosi yake ..sasa sidhani wapendwa kama beki zimechemsha muwanze kumtukana okwi
mbaya zaidi kitendo cha kipumbavu ambacho okwi amefanyiwa na boban bna mpumbavu mmoja msemaji wa simba kukana leo hiki ni kitendo cha kishenzi na okwi binafsi amepanga kuomba uongozi apumzike simba ili wawe na amani huku akifwata sheria zitaakazomfikisha mvuta bangi boban mahakamani kwa kumshambulia
ndugu zanguni muda ndio umepita tuangalie mbele okwi huyo ndie alipiga penalt mkakosa ubingwa mkasema leo tena mnachomngangania ninini??si mumwacheni aje yanga ??
ni vyema mkasahau yaliopiya kama nduguzetu wa libya walivyomsahau mwenzao gadafi na leo wanahangaika kutengeneza nchi ingawa nassikiliza mtumishimmoja anaitwa td joshua anasema ameona jana watu wakiendelea kupigana bastola na mungu atusaidie
ndugu zanguni najua leo mmelala kamasio kuamka mkiwa na huzuni lakini ni vyema niweke wazi huu wimbo mliouanzisha kila sehemu ati okwi amewauza,na sababu halisi ni uhusiano wake na mtoto rais riz-1
sidhani owki alicheza mwenyewe jamani;;ifike sehemu tuwe huru wale wachezaji kuwa na uhusiano na watu wa yanga sio mbaya wale ni bindamu kama wengine..je mnajua anamsaidiaje mpaka mnalalama..na kama mliona ameshindwa kuwafunga yanga kwa nini amemalza dk 90??hamuwoni tatizo ni kwa kocha wenu asiejua ni nani anaitajika na kwa muda gani
kama okwi angekuwa beki ningekuwa na maneno ya kusema kwa sababu david mwape alianza kumchambua beki mmoja mmoja na kumfwata kaseja na akapewa dosi yake ..sasa sidhani wapendwa kama beki zimechemsha muwanze kumtukana okwi
mbaya zaidi kitendo cha kipumbavu ambacho okwi amefanyiwa na boban bna mpumbavu mmoja msemaji wa simba kukana leo hiki ni kitendo cha kishenzi na okwi binafsi amepanga kuomba uongozi apumzike simba ili wawe na amani huku akifwata sheria zitaakazomfikisha mvuta bangi boban mahakamani kwa kumshambulia
ndugu zanguni muda ndio umepita tuangalie mbele okwi huyo ndie alipiga penalt mkakosa ubingwa mkasema leo tena mnachomngangania ninini??si mumwacheni aje yanga ??