- Thread starter
- #61
Ningependa kumfahamu jamaa mmoja anaitwa Ernesto Sheka. Anatupa majungu Facebook na kuiponda sana. Kama unamjua vizuri naomba nipe details zake.
Simjui
Ningependa kumfahamu jamaa mmoja anaitwa Ernesto Sheka. Anatupa majungu Facebook na kuiponda sana. Kama unamjua vizuri naomba nipe details zake.
Mama Salma Kikwete akiwa rais na nchi hii nahama na mwanangu kwenda kuishi uhamishoni Afghanistan hadi miaka yake mitano ipite. Heri nikaishi ukimbizini tora bora kuliko kuongozwa na mwalimu wa chekechea, aliingia madarakani ung'eng'e unamshinda ndo awe rais....
Baseless questions !!! Kwa hiyo hujui kwamba Kinana amejuana na Rashid Shemte through January Makamba, Hujui kwamba Kinana Makamba, Kikwete na watoto wao ni kitu kimoja kwenye hizo message za kichochezi, Hujui kwamba ni kweli Kiwete na hao waliosambaza message wanachochea chuki za kidini na ukabila unaoweza kuangamiza taifa!!!!??? Kama yote hayo huji basi kwa herrrrrrrrriiiiiiiiiiiiii!!
Kwa maelezo zaidi ili uweze kuelewa basi soma thread hii kwa makini :- https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/79173-aliyesambaza-meseji-za-kumkashifu-slaa-ni.html
Click link hii uone uhusiano wa January na Shamte
Mohammed Dewji Blog » Blog Archive » EXCLUSIVE INTERVIEW WITH JANUARY MAKAMBA..!!!
Mkuu kwa hili la Bwana January kushabikia Udini na Ukabila sitaki kukubaliana na wewe,January mwenyewe kama walivyo watanzania wengi kachanganya kwenye Dini,Mama yake ni Mkristo na ndio maana labda Mzee Makamba ni fundi wa kupitia vifungu vya Biblia,pia Mama huyo ni Muhaya,na Januari ambaye ni Msambaaa kaoa mwanamke Mkristo na ni Mchaga,kwa maana hiyo kumuhusisha na huu ubaguzi wa kidini na Ukabila naona hatumtendei haki!
Isiwe Ushabiki wa kiitikadi ndio unatupeleka kuandika mambo yasiyo kweli ,tujaribu kuandika ukweli.
Mama Salma Kikwete akiwa rais na nchi hii nahama na mwanangu kwenda kuishi uhamishoni Afghanistan hadi miaka yake mitano ipite. Heri nikaishi ukimbizini tora bora kuliko kuongozwa na mwalimu wa chekechea, aliingia madarakani ung'eng'e unamshinda ndo awe rais....[/QU
lo hata mimi.hapo ccm watakuwa wamechemka
[/LEFT]
Mkuu umeiweka vizuri kwa data ila naomba utanisamehe kutoa angalizo;
Kwanza natanguliza kwa kusena January namuona kama kijana makini; lakinu Jenerali Ulimwengu ameandika wiki chache zilizopita kwamba kipindi hiki watu makini wanaweka pembeni taaluma zao na kuzirejea baada ya uchaguzi, simhukumu January ama yeyote kwa hilli ni angalizo;
Angalizo hilo linanisukuma kukumbusha watu mambo kadhaa ambayo wanasiasa wetu wanayatumia kwa maslahi yao tu lakini katika matendo wanakua tofauti majumbani mwao ama kazini. Mfano Zanzibar wakati wa hali tete ya kisiasa wanasiasa walikua wakihubiri chuki kati ya CCM na CUF lakini wao unakuta majumbani mwao wanaishi, kulka na kulala na CUF ama CCM;
Leo kuna watu majukwaani wanapinga ufisadi, wakishuka wanavuta rushwa; kuna watu wanapiga vita udini lakini wakishuka mnajukwaani wanahubiri udini, lakini wapo wanaochochea udini wakati yeye anaishi na dini tifauti na ananufaika kutokana na maslahi ya dini tofauti.
Kwa kifupi tujadili na kutafuta taarifa sahihi bila kutumia marejeo kama kinga na kwa hili mtoa hoja atuletee data kuhusu mahusiano ya January na Shamte na familia ya Kinana, tusiwahukumu wala kuwatetea.
Mwinyi ilikuwa aingie Zanzibar ila Bilal akaharibu kila kitu. Sasa hivi macho yote yameelekezwa kwenye uraisi wa JMT. Kwenye list hapo muongeze mama Salma Kikwete.
what's your take?
Una maana unamfananisha na Hillary Clinton? sijui kama wanaendana. Bora ungesema mama Anna Mkapa maana yeye kichwani ameelimika vya kutosha
Uhusiano kati ya January Makamba, mtoto wa kinana na yule jamaa wa text za kichochezi na chuki dhidi ya wakatoliki Tanzania nzima, kabila la wachagga, na wakazi wa mikoa ya kaskazini (ajulikanaye kama Rashid Shamte) ni mkubwa kuliko tulivyodhania.
Jana kulikuwa na habari kuwa Shamte anataka kukimbilia nje ya nchi (very likely - Dubai). Hii habari bado ina utata lakini habari za ndani zinaeleza kuwa familia ya Makamba na Kinana wanahangaika kufanya kila wawezalo kujitenga mbali na Shamte.
Kuna kitu nafuatilia so kwa sasa naiacha hii story kama news alert, nikipata info zote, nitaweka hapa ili watu wamkome nyani giladi mchana kweupeeeeeeeeeeeeeee.
USHAURI KWA JANUARY MAKAMBA, huu mpango wenu wa kuanzisha vita ya kidini na kikabila si mzuri kwa ndoto yako ya kuwa raisi wa jamhuri wa Tanzania siku za mbeleni. Kama Tanzania ikitumbukia katika vita, je wewe utaongoza vipi nchi hiyo?
Toa upumbavu wako hapa mwanamlaaniwa,usijaribu kuhusisha Quruani na taka za mawazo yako ya kijahiliaUpumbafu tu.............yeye ni muislamu na makamba sr anajaribu tu kuwarubuni wakristo km alivyowarubuni waislamu kuhusu mahakama ya kadhi ndyio maana anajaribu kuisema bible kimdomoni wkt moyo wake ni kutaka kura za wakristo........january ni muislamu kitendo cha kuoa mchaga sijui muhaya ni furaha tu kwa waislamu km kawaida yao wafurahipo kuoa mkristo na huwa wanahesabu km mafanikio makubwa........,makamba ni mnafiki na ni uchafu kutumia bible ambayo yeye mweneyewe na dini yake hawaiamini km ilivyo kwa wakristo kutoiamini quran kitabu chenye uchochezi wa chuki na mauaji
ina mana mpaka sasa hujapata taarifa?
au ulikuwa udaku?
kama hizi thread ndio jibu na ushahidi wenu basi nadhani kile ambacho mnakitafuta hakitafanikiwa. Hakuna jibu wala aina yoyote Yakumuhisisha januar katika kile kinachosemwa.Baseless questions !!! Kwa hiyo hujui kwamba Kinana amejuana na Rashid Shemte through January Makamba, Hujui kwamba Kinana Makamba, Kikwete na watoto wao ni kitu kimoja kwenye hizo message za kichochezi, Hujui kwamba ni kweli Kiwete na hao waliosambaza message wanachochea chuki za kidini na ukabila unaoweza kuangamiza taifa!!!!??? Kama yote hayo huji basi kwa herrrrrrrrriiiiiiiiiiiiii!!
Kwa maelezo zaidi ili uweze kuelewa basi soma thread hii kwa makini :- Aliyesambaza meseji za kumkashifu Slaa ni....
Click link hii uone uhusiano wa January na Shamte
Welcome to Mohammed Dewji