Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

Anayejua formula inayotumiwa na TCU ya ku calculate GPA (kufanya equivalency) kwa mtu aliyesoma nje naiomba tafadhali.
 
Kuhusu ajira ni kweli. Lakini si kweli kuwa TCU wameweka GPA ya 3.8 bali ni 3.5 kwa undergratuade lakini kwa Master lazima uwe na GPA ya 4.0. TCU inaelekeza ili ufundishe watu wa kuanzia digrii ni lazima uwe na 3.5 digrii GPA na 4.0 Master. Mengine ni mfumo ambao umerithiwa kutoka Chuo Kikuu Kikongwe cha Dar Es Salaam. Na SAUT nao mfumo wao ni tofauti sana kwani wao ukipata 70-79 ujue una B+ na A inaanzia 80-100.
 
Kuhusu ajira ni kweli. Lakini si kweli kuwa TCU wameweka GPA ya 3.8 bali ni 3.5 kwa undergratuade lakini kwa Master lazima uwe na GPA ya 4.0. TCU inaelekeza ili ufundishe watu wa kuanzia digrii ni lazima uwe na 3.5 digrii GPA na 4.0 Master. Mengine ni mfumo ambao umerithiwa kutoka Chuo Kikuu Kikongwe cha Dar Es Salaam. Na SAUT nao mfumo wao ni tofauti sana kwani wao ukipata 70-79 ujue una B+ na A inaanzia 80-100.
TCU wanakazi ya kufanya ili kutenda haki kwa wanafunzi wa kitanzania, mfano SUA A inaanza na 75-100, B+ 70-74, B- 60-69, C 50-59 kwa UDSM A ni 70-100, B+60-69, B- 50-59 na C 40-49 Kwa masters sasa hapo kuna harmonized GPA? wa SUA anaweza akakosa isivyo halali
 
Gentleman GPA...hauna vigezo vya kufundisha jitafakari...hakuna shortcut. Ila TCU wangeangalia hizi calculations bora ingekuwa inatumika formula moja kwa vyuo vyote. Vigezo vingine vibaki km kawaida...ila hiki wakirekebishe aisee
 
MZUMBE university faculty of law jau sana wanatukazia ata sisi tunaosoma business law watu wa school of business SOB ....
Yani baada ya kuwakazia wanafunzi wao wa law et wanatuganda sisi watu wa SOB .....course yenyewe wakuu unasoma semester moja lakini bado wanakuganda ...ata kusapua ausapui wanakushikilia tu ......daah aya bna department ya law
 
Naona mnajitahidi kufanya justification

TCU wanakazi ya kufanya ili kutenda haki kwa wanafunzi wa kitanzania, mfano SUA A inaanza na 75-100, B+ 70-74, B- 60-69, C 50-59 kwa UDSM A ni 70-100, B+60-69, B- 50-59 na C 40-49 Kwa masters sasa hapo kuna harmonized GPA? wa SUA anaweza akakosa isivyo halali
 
Naona mnajitahidi kufanya justification
siyo justification tu bali ndiyo uhalisia "Huwezi kumpambanisha ng'ombe na simba kwa mbio" hata system za assessment katika vyuo vyetu ni tofauti sana. TCU kama wanaelewa majukumu yao wana kazi kubwa ya kufanya.
 
Mwenye kujua namna overall gpa inayowekwa kwenye cheti anisaidie

Ni average gpa ya miaka yote uliyosoma au ni average gpa ya mwaka Wa mwisho?
 
Wanajamii !!
1. Naomba msaada wenu kuhusu namna GPA za SUA zinavyopatikana. Kwa uwezo wangu mdogo wa hesabu nimekuja kugundua kuwa ukokotoaji wa GPA katika SUA uko tofauti kabisa na vyuo vikuu vingine hapa nchini. Kwani hutumia mfumo wa raw marks:
GPA calculation as per SUA is:


Y= 0.024X + 2.6 for (A; 75-100 marks; 4.4 to 5.0 GPA): Y=0.08X - 1.6 for (B+;70-74.9 marks; 4.0 to 4.39 GPA): Y=0.1X-3 for (B;60-69.9 marks; 3.0 to 3.99 GPA): Y=0.1X-3 for (C; 50-59.9 marks; 2.0 to 2.99 GPA): Y=0.1X-3 for (D; 40-49.9 marks; 1.0 to 1.99 GPA) and Y=0.025X for (E; 0-39.9 marks; 0.0 to 0.99 GPA).

All ranging from Excellent, Very Good, Good, Satisfactory, Marginal Fail and Absolute Fail respectively. Where: Y= Grade point and X=Raw marks (%).


Wakati vyuo vingine kwa mfano A ni A tu hata kama ni 100 ama 80, wote hawa wako katika kundi moja. Hivyo basi ukichukua matokeo ya mwanafunzi wa SUA na kukokotoa kwa mifumo hii miwili unapata GPA tofauti kabisa, yaani wa vyuo vingine mfano UDSM atapata GPA kubwa zaidi. Jamani TCU sijui wanalijua hili, maana limekuwa likiwaathiri wanafunzi wengi wa SUA katika soko la ajira hasa ya kufundisha vyuo vikuu na taasisi za utafiti maana huhitaji GPA zaidi ya 3.8, jamani naomba kuwasilisha kama kuna mtu anaweza kufafanua vizuri itatusaidia sana.


2. Kuhusu ajira za ualimu kwa Tutorial Assistants kuwataka kuwa na GPA ya kuanzia 3.8 ni kuwanyima fursa wale wote wenye 3.5 na kuendelea ili hali nao pia wapo katika kundi la pili la ufaulu, na wana uwezo mkubwa wa kufundisha.

Ninawafahamu rafiki zangu wengi tu ambao wana GPA 3.5 lakini uwezo wao hauna mfano hata hao wenye GPA za juu hawawafikii. Nawaomba TCU waliangalie hili, maana si kila wakati GPA kubwa ndo inatoa picha ya candidate bora.

Ukichunguza sana vyuo vingi bora barani afrika hata ulaya wanataka tu first class ama upper second, ije hapa tanzania ambapo kuna GPA nyingi tu kubwa wamepewa wanafunzi isivyo halali nawasilisha

ACHA WIVU DOGO UNGEKOMAA SASA ILI UWAFIKIE HAO WA 3.8....KAMA HUKUFIKA BASI BADO SISI TUTAONA UWEZO WAKO WA KAWAIDA
 
... Mkuu huo mfano wa MZUMBE UNIVERSITY umeuweka mahala pasipo sahihi ... maana mifumo ya calculations za GPA baina ya MU na SUA ni Sawa sawa ... so nakushauri tu ww Kama msomi mwenye weledi unapaswa Kuwa mfuatiliaji wa taarifa na ujiridhishe Kabla ya kutia Neno Unlike ww umekurupuka mbele ya kadamnasi ya JF ... You know JF is the Home of Great Thinkers ... Embu chukua hii Pengine huenda ikakusaidia kwny maisha yako apo baadae : No Research No Right to Speak ...
 
Nimemaliza SUA mwaka huu na hiyo system ya GPA wana argue kwamba watu hawawezi kufanana mpaka useme A ni A bila kuangalia raw marks! So hapo ndio panapotubana lakini pia ukikutana na watu wanaojua system ya GPA za SUA katika swala la kazi hauna tabu kuchukuliwa koz unaeza ukawa na 3.5 ya SUA na mwingine ana 4.0 ya mzumbe lakini kindani we wa 3.5 ya SUA uko juu zaidi!!
Dats wat av experienced in my tym
 
wewe kama umeenda chuoni na unataka first class dawa ni kusoma kwa bidiii bila kujali ni chuo gani. Lazima ufikie kiwango cha chuo ulichosajiliwa. sasa wewe kama umeenda SUA kujirusha tu shauri yakoSM , kwanini ukuapply huko tangu mwanzo. Wewe kama ulikuwa usomi shauri lako usituchanganye hapa. Ukilialia hapa hatuna msaada kwani majibu yapo kwenye cheti tayari. cha msingi songa mbele nayo tafuta kazi yoyote. Kwani maisha ni kuwa lecturer?? TAFAKARI
mkuu pole sana natambua maumivu upitiayo hasa unapokutana na meseji za madogo
 
Back
Top Bottom