Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

Very good discussion, japo mwisho wa siku kila mtu atajiuza sokoni. GPA so far ina effects kwenye kazi za kufundisha na auditing firms. Sehemu zingine wameshashtukia kuna watu wana GPA za kufa mtu na kichwani hamna kitu. Kitakachokuuza zaidi ni jinsi unavyojieleza kuanzia kwenye CV hadi kwenye interview. Make sure u know exactly what u ar dealing with, afu ushangae unamshinda mwenye phd yake unachukua kazi kama kawa!
 
Nimemaliza SUA mwaka huu na hiyo system ya GPA wana argue kwamba watu hawawezi kufanana mpaka useme A ni A bila kuangalia raw marks! So hapo ndio panapotubana lakini pia ukikutana na watu wanaojua system ya GPA za SUA katika swala la kazi hauna tabu kuchukuliwa koz unaeza ukawa na 3.5 ya SUA na mwingine ana 4.0 ya mzumbe lakini kindani we wa 3.5 ya SUA uko juu zaidi!!
Dats wat av experienced in my tym at SUA

Hapo kwenye nyekundu
1.sasa si mpk umkute huyo mtu anayezifahamu hzo GPA zenu?Na hv SUA hamtoi ma-HR wanaoajiri!Mkombozi wenu ni NGO tu la sivyo ....................
2.Hv Mzumbe ndo wanyonge wenu?Hakuna hoja ya maana hapo eti sua upo juu zaidi. Kama ni we ni kilaza,jua ni kilaza tu.
 
King'asti;2980171]Very good discussion, japo mwisho wa siku kila mtu atajiuza sokoni. GPA so far ina effects kwenye kazi za kufundisha na auditing firms. Sehemu zingine wameshashtukia kuna watu wana GPA za kufa mtu na kichwani hamna kitu. Kitakachokuuza zaidi ni jinsi unavyojieleza kuanzia kwenye CV hadi kwenye interview. Make sure u know exactly what u ar dealing with, afu ushangae unamshinda mwenye phd yake unachukua kazi kama kawa![]

Sister umeongea ukweli mtupu but nina wasi wasi na gpa yako kama viatu vya mtoto au vya hasheem thabeet

ha ha ha ( am joking) much love my sister
 
Lol! Sasa ndo umeamua kunikatia kiu eh? Aisee, my somewhat many years of experience imenifundisha GPA haikuuzi. Ila nilikutana na jamaa aliekuwa permanent best student undergraduate, kachooka, shati la kikoi lina rangi mbili tofauti nikagundua mdomo unaniuza kuliko GPA hehehe! Ila ntake radhi banaa, ka-GPA kangu kaduchu lakini kananiweka mjini bana,kha! Kuna interview nilienda nikakutana na jamaa lina masters mi na kadigrii kangu, tunapiga stori jamaa anajisifu tu! Nilipoletewa offer letter nikajua kumbe hakuna kutishiana nyau,lol
[]
Sister umeongea ukweli mtupu but nina wasi wasi na gpa yako kama viatu vya mtoto au vya hasheem thabeet

ha ha ha ( am joking) much love my sister
 
[
HTML]Lol! Sasa ndo umeamua kunikatia kiu eh? Aisee, my somewhat many years of experience imenifundisha GPA haikuuzi. Ila nilikutana na jamaa aliekuwa permanent best student undergraduate, kachooka, shati la kikoi lina rangi mbili tofauti nikagundua mdomo unaniuza kuliko GPA hehehe! Ila ntake radhi banaa, ka-GPA kangu kaduchu lakini kananiweka mjini bana,kha! Kuna interview nilienda nikakutana na jamaa lina masters mi na kadigrii kangu, tunapiga stori jamaa anajisifu tu! Nilipoletewa offer letter nikajua kumbe hakuna kutishiana nyau,lol]
Sister inaelekea we mjumbe wa kwetu mvomero kabisa hadi kukata kiu umegundua,, but ukirudi shule iongezee ongeze bana kupisha kelele za waanzisha thread
 
mbona huzungumzii ugumu wa mitihani, mwanafunzi wa udsm kwa akili yake ileile atapata gpa ndogo udsm kuliko kama angesoma sua! so we are even!
 
Nashangaa mnakaa mnabishana na kujadili kuhusu gpa.kwani umeambiwa hakuna kazi zingine mpka uwe lecture.hata kufagia barabarani,kuuza nyanya na penyewe panahitaji gpa? Acheni hzo kaz ni kaz cyo mpaka uwe lecture
 
Nashangaa mnakaa mnabishana na kujadili kuhusu gpa.kwani umeambiwa hakuna kazi zingine mpka uwe lecture.hata kufagia barabarani,kuuza nyanya na penyewe panahitaji gpa? Acheni hzo kaz ni kaz cyo mpaka uwe lecture
ni haki yako kutoa maoni, ila mimi nafikiri mtu hua bora sana anapofanya kazi inayoendana na mapenzi na kipaji chake.
 
Hello Guys,
Mimi sio mwana hesabu kivile lakini nimepata interest baada ya kusoma hii thread ya GPA. Kwanza nashangaa watu wasomi kila siku kubishana M.U na UDSM kipi bora, mie nadhani ubora unao wewe mwenye hata kama umesoma chini ya mwembe mana kuna wengi wa hovyo tu toka vyuo hivyo pia wapo, mimi naamini katika uwezo binafsi kama umepata kilichokupeleka chuo utakuwa bora no matter what mifano mifano dhahiri tunayo sina haja ya kueleza hilo kwa watu ambao naamini ni waelewa na wasomi. Swala la msingi juu ya kukokotoa GPA, nadhani TCU watakiwa kutoa mwongozo unaofanana mana mpaka sasa kila chuo kinafanya kivyake, cha zaidi ni juu ya hizo grading system zenyewe kwa uelewa wangu na uzoefu (nimesoma chuo kiuu kimoja hapa nchini) kuna grade A,B+,B etc zinakuwa na rank tofauti lakini inatokea mfano watu wawili tunapata matokeo sawa sema kwenye semester moja (A,B,B,C,B+) GPA zitakuwa sawa kuokanna na unit za kila somo ulililofaulu, tofauti inakuja pale kwenye kitu inaitwa grade point ambapo kama mie nimepata A sema ya 95 nitakuwa na tofauti na mwenzangu aliyepata ya 82. Mwisho kwa msaada zaidi ni kuwa unaweza kwenda TCU waka-standardize matokeo yako na GPA kapanda mana hiyo ipo ila watu wengi hawafanyi ni ghali sana unalipia kama Tsh 50,000 kwa somo moja ulosoma sasa fanya kwa programme yote ya miaka sema mnne itakuwa kiasi gani.
Ni hayo tu wadau.
 
Hii kitu ipo kwakweli,tena inaumiza sana.Kuna ndugu yangu mmoja alimaliza SUA yaani nikilinganisha cheti chake na cha best zangu waliomaliza UDSM na MZUMBE amewaacha mbali kwa idadi ya 'A' lakini cha ajabu yeye ndiyo ana GPA ndogo kupita wote.SUA wale wazee waliokaa pale muda mrefu wamejisahau sana wanafanya chuo kinakuwa kigumu kupita kiasi,yaani kwakweli nadhani hali hii itabadilika wale ma-Prof (Wazee) watakapo oondoka wote ije generation mpya!!Inawaumiza wengi sana kwa kweli hasa katika kuapply scholarship za abroad!!
 
Msitudanganye! kwani SUA hakuna 1st class? mi kuna best yangu kapiga food science pale mwaka jana, ana GPA ya 4.3. ukiona una ka GPA ka kizushi ni wewe wala usimrahumu mtu, kuna sehemu unakuwa umekosea. mbona watu kibao tu wapata GPA za hatari pale? mbona walimu wenu wanaowafundisha waliosoma hapo wana GPA kubwa bwana? nitajie ulikuwa course gani ili nikwambie watu walioacha historia pale. wewe itakuwa ulikuwa unashinda misufuni au ulikuwa unashinda apopo ikiwashangaa panya! au ndo wale wale mnaokaa Gaza mkishangaa watu tu!
 
Mimi napenda kumuunga mkono mtoa maada, ni kweli utofauti wa kugrade GPA umekua tatizo, kumbuka kwamba GPA inarepresent au inatoa picha ya competency, sasa kama kutakuwa na utafauti wa kutafuta hizo GPA ipo hatari ya misselect.

SUA watabaki sua tu, SUA watoto wa msuli.

Pia napenda kumshauari huyo aliyekazana kusema " No Research no Right to Speak" kwamba alewa maana ya msemo huo,

THINKING IS POWERFUL MORE THAN MEMORIZING
 
good arguement kameko
Msitudanganye! kwani SUA hakuna 1st class? mi kuna best yangu kapiga food science pale mwaka jana, ana GPA ya 4.3. ukiona una ka GPA ka kizushi ni wewe wala usimrahumu mtu, kuna sehemu unakuwa umekosea. mbona watu kibao tu wapata GPA za hatari pale? mbona walimu wenu wanaowafundisha waliosoma hapo wana GPA kubwa bwana? nitajie ulikuwa course gani ili nikwambie watu walioacha historia pale. wewe itakuwa ulikuwa unashinda misufuni au ulikuwa unashinda apopo ikiwashangaa panya! au ndo wale wale mnaokaa Gaza mkishangaa watu tu!
 
Hapo kwenye nyekundu
1.sasa si mpk umkute huyo mtu anayezifahamu hzo GPA zenu?Na hv SUA hamtoi ma-HR wanaoajiri!Mkombozi wenu ni NGO tu la sivyo ....................
2.Hv Mzumbe ndo wanyonge wenu?Hakuna hoja ya maana hapo eti sua upo juu zaidi. Kama ni we ni kilaza,jua ni kilaza tu.

mdau mzumbe nao ni mathinker waukweli, nafikiri unahitaji kufanya research kabla ya kupost mambo.
Pili GPA zake ni nomah. Hata siku moja alama A haiwezi lingana, 75 is not equal to100 hata kama ni same gradè. In short kwa taarifa nilizonazo MZUMBE nao wanatumia raw system
 
Je mnazungumzia vipi? Utungaji na usimamizi wa mitihani? Nafikiri ingekuwa safi mitihani iwe inatungwa na external examinars na kusimamia pia, husu gpa inatakiwa iwe uniform kwa vyuo vyote.

Kwamba hao watu wafanye mitihani sawa katika conditions sawa, namna watakavyofundishwa iwe juu ya vyuo husika.
 
Sifa ya kufundisha chuo kikuu inayotambulika na TCU ni 3.5 and above na si 3.8 kama wadau wanavyodai kwa hiyo mwenye GPA hiyo anaweza pata kazi chuo kikuu ya kufundisha but tunapokuja kwenye competition ndiyo unaweza kukuta hawakuchukui kwa vile wapo watu wenye first class.Lakini kuna vyuo ambavyo wamejiwekea utaratibu wao wa kuchukua GPA ya 3.8 kama UDSM,SUA,OPEN na baadhi ya private.Sasa hapo unaweza kukuta mtu una first class mwenzio ana 3.5 mkaomba kazi wakati mmoja wewe ukaachwa 3.5 akachukuliwa usiulize kwa nini maana nae ana sifa hamna atakayewauliza (TANZANIA YETU).Nawashauri wale wote wenye GPA 3.5 kama wana uwezo wapige masters hasa Sayansi opportunities zipo kibao first degree zina compettion sana na vyuo vimekuwa vingi vinavyotoa degree.Na si lazima ufundishe chuo kikuu tu kuna vyuo ambavyo vipo chini ya NACTE navyo mishahara ni ileile kama ya vyuo vikuu vyuo hivyo ni kama DIT,Arusha tech,Veta,vyuo vya ardhi kama Morogoro,Tabora na vinginevyo.Kwa hiyo kama una GPA hiyo ya 3.5 bado una nafasi ya kufikia ndoto yako.Nawasilisha.

Mdau uko sawa kuhusu mwongozo wa TCU lakini hebu fuatilia matangazo mengi ya vyuo vikuu vingi kwa nafasi ya Tutorial Assistant wanatangaza 3.8 GPA na 4.0 kwa Assistant Lecturers. Hoja ya mdau ni je, TCU wanamkakati gani wa kulidhibiti hili na kuwanyima haki ya kuapply TA kwa wale wenye 3.5GPA
 
ndugu acha kung'ang'ania ualimu tu wakufundisha vyuon/ uhadhiri kama GPA imezingua we njoo tu huku kitaaa tukomae...kwa experience niliyoiona vyuo vingi vya umma vinabana GPA, kinooma UDSM lower second kibaoo yan so usione soo wala nin njoo kitaaaa..tu jombaaa achana na mambo hayo mana wameyaweka ili wabaki wachache tu...GPA kubwa ungeenda private UNiv..ndo ungefurahia so kubali matokeo and move on with life..majority ya wanao graduate UDSM sio competitive kivile sababu ya GPA kuwa chini..so usiwaze sana tupo wengi wenye tatizo hilo lakini hatukati tamaa tunasikilizia mchongo tu kitaaaaa...amini hivyo
 
Gpa ya mzumbe wanatumia the same formula wanayotumia SUA, aliileta DVC ACADEMIC mwaka 2007 baada ya kuamia mzumbe kutoka SUA i mean
mchango wa A ya 80 na A ya 90 ni tofauti kwenye GPA, mfano mtu akipata C ya 50 is equal to 2.0 GPA while akipata C ya 59 is equal to 2.9 GPA
kwa hiyo wakuu hata kama hamuipendi mzumbe but msidanganye kuhusu mzumbe, i was there for BAF from 2007-2010 and now i enjoy MU fruits at KPMG,,, there is no place like home go go Mzumbe japokuwa haters wana chuki na wewe

oya vipi bank teller amekurudishia hela?
 
Back
Top Bottom