Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wadau,
Kuna hii knowledge ya kwamba ukiwa na kikohozi ama kikohozi na mafua vinasababishwa na mtu hasa kwa watoto kutumia vinywaji ama vimiminika baridi!
Na ikiwa wa mtoto anakohoa asitumie kabisa hivi vitu....................ni kweli ama ni elimu ya mitaani?
Naseama hivi nikiwa nafuatilia tatizo la mwanangu amekuwa akikoho kwa wiki ya tatu sasa na mara zote hospitali wamekuwa wakimwandikia syrup ya mucolyn mpaka nilipolalamiaka leo na wakambadilishia cifalexin (antibiotic)
Lakini nikawaambia kuwa tatizo kubwa kuwa nimeruhusu aendelee kutumia vitu kama juice nk vya baridi............kitu ambacho nachelea kukiamini
Kuna hii knowledge ya kwamba ukiwa na kikohozi ama kikohozi na mafua vinasababishwa na mtu hasa kwa watoto kutumia vinywaji ama vimiminika baridi!
Na ikiwa wa mtoto anakohoa asitumie kabisa hivi vitu....................ni kweli ama ni elimu ya mitaani?
Naseama hivi nikiwa nafuatilia tatizo la mwanangu amekuwa akikoho kwa wiki ya tatu sasa na mara zote hospitali wamekuwa wakimwandikia syrup ya mucolyn mpaka nilipolalamiaka leo na wakambadilishia cifalexin (antibiotic)
Lakini nikawaambia kuwa tatizo kubwa kuwa nimeruhusu aendelee kutumia vitu kama juice nk vya baridi............kitu ambacho nachelea kukiamini