Engineer Mohamed
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 451
- 9
mahazibu si waarabu tu mahizibu kwa mkukusudia ZNP ni wale ambao wanajiita wazalendo wa zanzibar au maalwatwan wao wanaamini kuwa wao ndio wenye haki ya zanzibar na ASP wengi wao ni watwana wakuja na si wenye asili ya Zanzibar na ndio maana watu wanasema CUF ni mahizbu kwa kuwa wao wanasimamia sera zao mfano tokea kuundwa CUF kuna wazanzibari na wazanzibara kwa maana wale wazalendo wa zanzibar na wale wageni.
niliwahi sikia kuwa HIZBU ni wale wote wanaoishi unguja mitaa ya shangani,mji mkongwe,malindi,vikokotoni,mbuyuni fuoni,mwera.
jee hili ni kweli mkuu????
jee HIZBU inauhusiano gani na watu weupe weupe hapa nakusudia wenye maji ya kunde(mfano MSISITIZO :ALLY JUMA SHAMHUNA),waarabu n.k