Lakini mtu kakuvunjia mahusiano yako wewe na mpenzi wako, eti baadae unakuwa nae kweli ndio tunavofundishwa??,
Anachati na wewe kimapenzi wakati anajua unampenzi na yeye anampenz bado unamwona anafaa?? Inakuingia akilini??
Umemkuta na mwanamke usiku wa saambili afu anakwambia hakuna kinachoendelea kweli?? Nawewe unaamini tu??
Mimi naona dalili zote za wazi kuwa hakupendi kakuonesha, labda usubiri akuletee ugonjwa wa hatari(HIV), funguka dadaangu na usepe mapema.