Uhusiano huu siuelewi naomba msaada tafadhali

dada jibu unalo ila hutaki kukubali ukweli, huyo kaka ni bazazi, hafai mtini wala shimoni, embu jiamini na ujue thamani yako, kifupi ACHANA NAE NA ACHA KULAZIMISHA MAPENZI
 
yan kusoma hujui hata picha nayo hujui kuiangalia cha msingi we sepa na ukirogwa akupe mimba imekula kwako utamlea ww peke yako wakat huo yy anaponda raha na ma x wake wanaume wengi fanya decition mapema
 
Lakini mtu kakuvunjia mahusiano yako wewe na mpenzi wako, eti baadae unakuwa nae kweli ndio tunavofundishwa??,

Anachati na wewe kimapenzi wakati anajua unampenzi na yeye anampenz bado unamwona anafaa?? Inakuingia akilini??

Umemkuta na mwanamke usiku wa saambili afu anakwambia hakuna kinachoendelea kweli?? Nawewe unaamini tu??

Mimi naona dalili zote za wazi kuwa hakupendi kakuonesha, labda usubiri akuletee ugonjwa wa hatari(HIV), funguka dadaangu na usepe mapema.

Huo ndio ukweli anataka ushauri gani tena!!asubiri UKIMWI tu maana kama ni kutopendwa ameoneshwa anasubiri nn tena achape rapa tuu!!!atamuua huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom