Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #81
Unajua nimegundua kuwa watu wengi humu ni vilaza wa kutupwa na huwa wanafuata mkumbo tu. Inashangaza sana kuona kuwa hadi sasa hivi kuna watu hawaelewi mswada uliopitishwa na bunge unahusu nini. Hali ikiwa hivi humu ndani kwa ma-great thinker je itakuwaje huko nje?
vizuri kabisa.. nendeni mkatoe maoni kwenye hiyo tume itakayoundwa; wananchi wengine wasioridhika na mchakato ulivyo wanayo haki ya kukataa. Kama huna tatizo na mchakato na dhana ambayo imeongozwa huu mswada una wajibu mmoja tu kushiriki.