FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
Kama yeye sio dikteta Babu Seya na mwanae wako wapi???
Babu seya weka hukumu yake hapa na ushahidi uliompelekea kufungwa, yote alikaa akayapika Kikwete? nendeni huko, hamna hoja, tena mahakimu waliotowa hukumu na walioipitia rufaa wasikusikie wanaweza kukuchukulia hatuwa kwani unawabeza wao. Kikwete inamuhusu nini? au na wewe ni mtu wa kusikiliza maneno ya mitaani na si ya mahakamani? halafu unajiita "great thinker"? Unanshangaza sana.