DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Tukiwa tumejipanga kwa hukumu yoyote,pengine ile itakaayoonyesha udhalimu na kuingilia uhuru wa watu kuchagua itasaidia Arusha kukombolewa kwa njia ya nguvu ya umma.SHUKRANI mipaka imetanuka baada ya kutwaa arumeru.KAMANDA WETU akihujumiwa kesho Natangaza kuwa Tutamwingiza ikulu ndogo iliyopo jirani na mahakama kama ikulu kamili na ofisi ya mkuu wa mkoa PALE TUTAANZISHA CHUO KIKUU CHA MERU MAIN CAMPUS NA PIA JENGO LA CCM MKOA KAMA ADMINISTRATIVE HOUSE.Hapa ndipo penye hekima,mwenye masikio asikie.ARUSHA HATUTAKI mboyoyo.