nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Saturday, 23 July 2011 18:38 administrator
https://www.jamiiforums.com/index.p...mY2F0aWQ9Nzc6cGVyc29uYWwtdGVjaCZJdGVtaWQ9MTc2https://www.jamiiforums.com/index.p...t=default&page=&option=com_content&Itemid=176
KAMPUNI ya Uhuru Publications Limited (UPL), wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, imeshinda tuzo katika shindano la ubora katika mapato na ukuaji, lililoandaliwa na Mwananchi Communications Limited kwa kushirikiana na Kampuni ya Ushauri na Ukaguzi (KPMG), ambalo lilianza Desemba mwaka jana na kuzishirikisha kampuni 200 za hapa nchini, ambapo 100 kati ya hizo zilishinda, huku UPL ikishika nafasi ya 70. Pichani, Mhariri Mtendaji wa UPL, Josiah Mufungo, akipokea tuzo hiyo kutoka kwa Mwakilishi wa KPMG, Dk. Boniface Abayo, katika hafla iliyofanyika juzi usiku, ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Muhasibu Mkuu wa UPL, Alvera Kabwogi. (Na Mpigapicha Wetu).
https://www.jamiiforums.com/index.p...mY2F0aWQ9Nzc6cGVyc29uYWwtdGVjaCZJdGVtaWQ9MTc2https://www.jamiiforums.com/index.p...t=default&page=&option=com_content&Itemid=176
KAMPUNI ya Uhuru Publications Limited (UPL), wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, imeshinda tuzo katika shindano la ubora katika mapato na ukuaji, lililoandaliwa na Mwananchi Communications Limited kwa kushirikiana na Kampuni ya Ushauri na Ukaguzi (KPMG), ambalo lilianza Desemba mwaka jana na kuzishirikisha kampuni 200 za hapa nchini, ambapo 100 kati ya hizo zilishinda, huku UPL ikishika nafasi ya 70. Pichani, Mhariri Mtendaji wa UPL, Josiah Mufungo, akipokea tuzo hiyo kutoka kwa Mwakilishi wa KPMG, Dk. Boniface Abayo, katika hafla iliyofanyika juzi usiku, ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Muhasibu Mkuu wa UPL, Alvera Kabwogi. (Na Mpigapicha Wetu).