Wandugu mnakumbuka kauli mbiu hii "Uhuru na Kazi"? Tunatimiza miaka 48. Ndio kwanza viongozi wetu wanacheza kama watoto wa Darasa la nne vile, kila kitu valuvalu, kila mmoja hajui wajibu wake. Sheria hazilindwi wala hazilindiki kila aliye au aliyewahi kuwa Kiongozi basi yuko juu ya sheria. Wizi na uporaji wa Mali ya Taifa, Rushwa na Maonevu kwa walala hoi ndio Wimbo wa Taifa. Kupotea kwa maadili ya Uongozi ni kama Donda ndugu. Raslimali zimekabidhiwa Wageni.
AMA KWELI UHURU NA KAZI!!( AMA UHURU UNA KAZI??).
AMA KWELI UHURU NA KAZI!!( AMA UHURU UNA KAZI??).