MKL
Senior Member
- Mar 2, 2012
- 126
- 77
Kichwa cha habari kinasema "Wabunge Kamati ya Nishati Wakufuru"
Ndani yake Uhuru Kongwe la CCM linasema wahusika na kamati hii ni matajiri wa kufa mtu
1. Yupo anayemiliki magorofa
2. Wengine magari ya kukodi, Vituo vya Petroli
3. Wapo pia wenye Zabni za Mafuta migodini
4. Wengine wana makampuni ya tours
Nalinauliza wamezipataje mali hizi kwani wengi wao wameingia bungeni Juzi tuu hata awamu moja ya miaka 5 bado hawajamaliza.
Uhuru limekuwa ni gazeti la kwanza TZ wabunge kuwataja kwa majina wabunge wanaounda kamati hiyo kuwa ni:
Haya sasa Juzi Tundu Lissu alitaja baadhi ya wabunge wanaoihujumu Tanesco la jana alitakiwa kutoa maelezo kwenye kamati inaofuatilia sakata hili tuone Mbivu na mbichi kati ya hawa nani hasa inaihujumu Tanesco?
Kama Uhuru Kongwe la Chama chama cha CCM limechoka nalo kuwaficha wanaoihujumu Tanesco najiuliza habari hii nayo si ni kama ile tuu ililoliponza MWanahalisi? BAsi nalo Lifungiwe.
Source ni UHURU leo 01/08/2012 page 1-4
Ndani yake Uhuru Kongwe la CCM linasema wahusika na kamati hii ni matajiri wa kufa mtu
1. Yupo anayemiliki magorofa
2. Wengine magari ya kukodi, Vituo vya Petroli
3. Wapo pia wenye Zabni za Mafuta migodini
4. Wengine wana makampuni ya tours
Nalinauliza wamezipataje mali hizi kwani wengi wao wameingia bungeni Juzi tuu hata awamu moja ya miaka 5 bado hawajamaliza.
Uhuru limekuwa ni gazeti la kwanza TZ wabunge kuwataja kwa majina wabunge wanaounda kamati hiyo kuwa ni:
- Selemani Zedi (MWenyekiti)
- Diana Chilolo (makamu Mw/kiti)
- Haji Khamisi
- Catherini Magige
- Abia Nyabakari
- Charles Mwijage
- Yusuph Nassir
- Christopher Ole Sendeka
- Dr. Festus Limbu
- Eng. Athuman Mfutakamba
- Lucy Mayenga
- Josephine Changula
- Mwanamrisho Taratibu
- Suleimani Nchambi
- Ally Mbarouk Salim
- Vicky Kamata
- Kisyeri Chambiri
- Sarah Msafiri
- Munde Tambwe
- John Mnyika
- Mariam Kisangi
Haya sasa Juzi Tundu Lissu alitaja baadhi ya wabunge wanaoihujumu Tanesco la jana alitakiwa kutoa maelezo kwenye kamati inaofuatilia sakata hili tuone Mbivu na mbichi kati ya hawa nani hasa inaihujumu Tanesco?
Kama Uhuru Kongwe la Chama chama cha CCM limechoka nalo kuwaficha wanaoihujumu Tanesco najiuliza habari hii nayo si ni kama ile tuu ililoliponza MWanahalisi? BAsi nalo Lifungiwe.
Source ni UHURU leo 01/08/2012 page 1-4