Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,503
- 19,342
Baada ya kupatikana uhuru kutoka mikononi mwa waingereza takribani miaka hamsini iliyopita, watanzania wengi hawajawahi kujisikia wako huru. Walibadilisha wakandimizaji kutoka wazungu na kuwa na wakandamizaji waswahili wenzetu. Katiba ikawa inawapa watawala wetu mamlaka ya ajabu sana kiasi kuwa ukishindana nao hata kwenye mapenzi ya kimwili unaweza kujikuta pabaya sana.
Uhuru kamili unakuja sasa.
Tuna wakati wa kuchagua ama atuendelee na upuuzi ule u7le au tutafute utaratibu mpya. Utaratibu mpya ndio uhuru wetu.
Uhuru kamili unakuja sasa.
Tuna wakati wa kuchagua ama atuendelee na upuuzi ule u7le au tutafute utaratibu mpya. Utaratibu mpya ndio uhuru wetu.