hapo sasa, wabongo hawapendi kuchukua tahadhari na kufanya vitu kwa malengo, wanasubiri yakifika shingoni ndio wanaanza kutatua, hii inatumia hela nyingi sana, sasa baada ya jiji kujaa harufu, ndio wataamka, na kuanza kuchimba hiyo mifereji itagharimu vitu vingi kwa kuwa vimeshajengwa, mfano barabara, wengine wamechimba nyaya zao chini, hapo foleni bado tatizo, ni vita tupu itakua hapo jijini, kuna majengo kama karibia ishirini yatachipua humo katikati ya jiji ,na hao wanaojiita jiji, sijui mamayor, ni aibu tupu, sijui hata pia wanajitambulishaga kma wao ni viongozi wa jiji? tutafika tuu, kuna jiji llinaitwa a city on flames, maana kila siku ni moto, na moto unaweza kuwa mkubwa kulko jengo, teh tehhivi sewage system iliyo dar city centre, minara yote inayojengwa na iliyopo ikapata wapangaji na angalau 70% yao wakaingia chooni kujisaidia haja kubwa baada ya luch, uchafu/m.avi hayatafumukia Ikulu? mfano hai uliopo kwa sasa ni mafuta house; mpaka sasa mfumo wake wa maji taka ni mgogoro mtupu, siku zingine ukipita pale nje unakuta watu wanapakua ma.vi kwa koleo kwenye inspection chambers pale nje barabarani.
Swali langu watanzania tutaweza kuafford haya maisha ya life style hii. QUOTE]
Usiseme watanzania sema wewe mtanzania utamudu?
hivi sewage system iliyo dar city centre, minara yote inayojengwa na iliyopo ikapata wapangaji na angalau 70% yao wakaingia chooni kujisaidia haja kubwa baada ya luch, uchafu/m.avi hayatafumukia Ikulu? mfano hai uliopo kwa sasa ni mafuta house; mpaka sasa mfumo wake wa maji taka ni mgogoro mtupu, siku zingine ukipita pale nje unakuta watu wanapakua ma.vi kwa koleo kwenye inspection chambers pale nje barabarani.
Swali langu watanzania tutaweza kuafford haya maisha ya life style hii. QUOTE]
Usiseme watanzania sema wewe mtanzania utamudu?
Miye sitamudu nimezoea kwenda gengeni kwa mangi bei ni maelewano sukari,chumvi tunapimiana hela yako too hata vijiko viwili ukitaka mnaelewana bei. Unanunua kadiri ya uwezo wako huko kwingine nasikia unaitaji credit card na sijui nitapata lini hiyo
Nimeukubali mchango wakoWatanzania walio wengi hata kama hawewezi lifestyle hii, lakini bado itakua na mchango angalau kidogo kwa watanzania wengine, kwanza kabisa kujenga tuu haya majengo yanachangia uchumi wa tanzania GDP kwa 13% kutokana na data zilizotolewa, pia hata kama ni mafisadi sioni mbaaya wakizitumia hela wanazoiba na kuzizungushia humuhumu ndani ya nchi badala ya kwenda kuzificha kwenya mabenki ya nje ya nchi na kuzineemesha benki hizo, pia kuna biashara nyingi sana zinakua zinasababishwa na hii miradi ambayo biashara hizo zinanufaisha watanzania wengi pia, kuanzia muuza maji mkoroga zege atakayefanya usafi nk, labda kama wafanyakazi hawa watakua wa nchi nyingine hapo inakua noma lakini, bado hata hao wa nje wakija nchini hawaji bure, kuanzia visa, malazi na chakula lazima watanunua vya tanzania tuu, labda kama wachina wanakuja na tambi zao zilizokaushwa du, hapo watakua wametubania, pia katika majengo haya kutakua na shopping malls, sinema, hotel, nk ambavyo vitasaidia kuwachuna watalii, waache hela nyingi nchini, kuliko akija anaenda kuangalia wanyama, akifika dar hakuan eneo lolote la kisasa la kujibududishia, basi hawezi kutumia vizuri, hapo nina wasiwasi kama wamiliki wa hizi hotel na maeneo yote ya biashara yanamilikiwa na wageni halafu wanachukua kila walichokichuma pamoja na msamaha wa kodi na kula kona, hapo tutakua tumeuwawa, ila nina uhakika, yana manufaa kwa tanzania angalau kidogo, tutafika tuu, pia majengo haya yatahitaji maji ya dawasco, umeme wa twiga mzembe(TANESCO) nk, naomba kuishia hapa ntaendelea kutokana na maoni ya wadau wengine,
hiyo picha pia inapatikana hapa, kuanzia jiwe la msingi mpaka lilipo fikia http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1086599
asante mkuunimeukubali mchango wako
Bongo majengo kama uyoga.
Hili jengo lina matatizo makubwa sana katika madirisha.Zege imetumika sana na kuacha nafasi za madirisha ndogo sana badala ya kutumia steel na glass zaidi.Wangejenga jengo dogo lenye mandhari nzuri inside ambalo linaweza kushindana na na majengo mengine ya east africa, kuliko kukimbilia ku break record lakini ndani linakuwa kama warehouse.
Angalia jengo ya kisasa linavyokuwa
YouTube - Discovery Videos: Build It Bigger: Trump Tower Animation 3