Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Habari za leo wanajf,muda si mrefu nilikuwa napitia vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nikakuta kwenye gazeti la Uhuru likisema 'BAJETI YAKUNA WENGI'hivi watanzania wenzangu ni kweli hii bajeti ya 2012-2013 imekuna wengi au hili gazeti la CCM la uhuru linataka kupotosha umma ili kuitetea serikali yao ya magamba..