Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Huwa najiuliza sana hili suala. Katika kukua kwangu nilijikuta tu nawatamani wasichana na hasa wakijiachia ingawa sijawahi kuelezwa na wakubwa kuwa huwa wanaliwa na wanaume wakati wakiwa na njaa. Sasa swali ni vipi uhitaji huu unajitokeza? Na kwanini mtu anafanya barabara pasipo maelekezo hata ya mtu mwingine? Wakubwa mara nyingi huwafuma watoto wakifanya hivyo na kuwachapa lakini wala hawana haja ya kuwahoji wapi wamejinza hayo. Hii si kwa wenye chumba kimoja tu bali hata magetini. Nawaombeni sana mchangie kwa busara!