Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Kiukweli hii n zaid ya pressure, namuomba mungu tu atusaidie majib ya uhamisho yatoke kwa wote
 
Jumatano ya wiki iliyopita nilienda TAMISEMI na nikakutana na jamaa angu juu ya uhamisho huo. Akanijibu kuwa ndo wapo hatua za mwisho na watatoa kuanzia trh 15 januari hii. Mwenyewe nilishauza vitu mpaka hela nayo nishaitumbua kidogo.
kwaio ni kuanzia tarehe 15 mpaka lini?au ndio tarehe hio hio 15?
 
Jumatano ya wiki iliyopita nilienda TAMISEMI na nikakutana na jamaa angu juu ya uhamisho huo. Akanijibu kuwa ndo wapo hatua za mwisho na watatoa kuanzia trh 15 januari hii. Mwenyewe nilishauza vitu mpaka hela nayo nishaitumbua kidogo.
Nilikuwa najiona mjinga kuuza vitu kumbe sko peke yangu nimeuza wengine nimewakopesha wananilipa kidogo kidogo basi sawa trh 15 ni next week Friday hakuna shida
 
kwaio ni kuanzia tarehe 15 mpaka lini?au ndio tarehe hio hio 15?



hakutaja tarehe rasmi bali alisema wanataraji tupia mzigo kuanzia hiyo trh 15. Ule waraka wa uhamisho unasema kuna uhamisho wa july na mapema januari so tusubir hiyo trh 15.
 
hakutaja tarehe rasmi bali alisema wanataraji tupia mzigo kuanzia hiyo trh 15. Ule waraka wa uhamisho unasema kuna uhamisho wa july na mapema januari so tusubir hiyo trh 15.
acha tusubiri,ila mie nasubiria mpaka tarehe 22-01-2016,hizi presha za tarehe 15-01-2016 mie siziwezi!
 
ni kweli tuwe tu wapole nitaendelea toa updates pale nizipatavyo toka kwa huyo jamaa
 
Inaonyesha watu wana penda sana kuhama lkn jiandaeni psychologically kwa jibu lolote ili kuepusha kuumia sana pindi jibu likiwa sio ulilo tarajia
 
Inaonyesha watu wana penda sana kuhama lkn jiandaeni psychologically kwa jibu lolote ili kuepusha kuumia sana pindi jibu likiwa sio ulilo tarajia
Hakuna anaependa kuhama coz kuhama kunarudisha maendeleo nyuma na inaincur cost lakin hujui matatizo tunayoyaface huku porini ikiwa ni pamoja na barabara mbovu hakuna maji salama hakuna hospital zenye wataalamu usafiri mbovu usalama mdogo hakuna network ngoja nisiongee jins mabos wetu wanavyotufanya
 
Inaonyesha watu wana penda sana kuhama lkn jiandaeni psychologically kwa jibu lolote ili kuepusha kuumia sana pindi jibu likiwa sio ulilo tarajia
kuhama kwa mtumishi ni jambo la kawaida sana so Mimi sishangai,hata mtahiniwa anaposubiria matokeo hajiwekei kushindwa ila kushinda,naamini tupo tayar kwa majib mawili
 
Hamna wawahi kabsa tujue hatma kwanza coz kureport ni sku 14 baada ya kupata barua na mpaka barua zifike huku mshahara ushatoka sku hzi magu sianaingiza trh 22 tuu
 
Hahahaaaaa nmejitahidi kukaa bila kuingia net nikijua nikiingia leo ntakutana na majina kumbe bado hahahaaaaaa
 
Majezo na asali mnafirahisha hahaha morning guys it is another deep mawazu day ya july walitoa july 11 may be today u never kno
 
Back
Top Bottom