NAXFRA
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 392
- 74
Ndio bado nategemea matumainOK pole, kwa hiyo mlifanikisha?anyway tuwe Na matumaini japo roho zpo juu juu
Ndio bado nategemea matumainOK pole, kwa hiyo mlifanikisha?anyway tuwe Na matumaini japo roho zpo juu juu
kuna watu wamenipigia cm wanasema wapo Tamisemi niwape hela wanisaidie kupata kibali cha Uhamisho,kweli kibali in mpaka hela au wanataka kunitapeli jamani? taratibu zinakuwaje kwa wanaojua fomu zikifika Tamisemi? NISAIDIENI
Hofu yangu no kwamba nilipeleka Mkoani sasa he Mkoani walipeleka TAMISEMI pressure ya kwanza, ya pili TAMISEMI watapitisha? pressure ya pili. Kazi kweliTamisemi hawatozi hela kwa ajili ya kibali, huyo anaetaka hela ili akupe kibali ni tapeli na hayupo tamisemi. Pia no vema ukaweka namba zake hewani ili jamii imtambue.....sawa Saradaima Johnson?
Yani hata mm hii pressure ninayo nilitaman mkoani niwaambie kuwa nipeleke mwenyewe tamisemiHofu yangu no kwamba nilipeleka Mkoani sasa he Mkoani walipeleka TAMISEMI pressure ya kwanza, ya pili TAMISEMI watapitisha? pressure ya pili. Kazi kweli
Dah na iwe hivyo jamani tujue future yetu kama hatuhami twende shuleNimeskia tetes majina majina yatoka leo au kesho tuombe Mungu
kuna watu wamenipigia cm wanasema wapo Tamisemi niwape hela wanisaidie kupata kibali cha Uhamisho,kweli kibali in mpaka hela au wanataka kunitapeli jamani? taratibu zinakuwaje kwa wanaojua fomu zikifika Tamisemi? NISAIDIENI
Kama barua yako ipo tamisemi subiri majina, huwa yanatoka January mwishonikuna watu wamenipigia cm wanasema wapo Tamisemi niwape hela wanisaidie kupata kibali cha Uhamisho,kweli kibali in mpaka hela au wanataka kunitapeli jamani? taratibu zinakuwaje kwa wanaojua fomu zikifika Tamisemi? NISAIDIENI