kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
local government yaani michosho sana any way twende tu hvohvoBig kwa taarifa nzuri ingawa mi sihuski ila nzuri sana kwa wahusika mkuu, ni vitu vilivyokwenda shule, pia hongera mzee kwa uhamisho maana nyie mko under local authority kwaiyo hata mambo yenu yapo very locally.
gudnyt mkuu!
ukisoma orodha ya watumishi ambao hawakukidhi vigezo vya kuhamishwa wengi ni kutoka lindi/mtwara. Hii inaashiria nini?
Kiongozi funguka kidogo. big sufuri ndiyo nini? Nilitegemea ungesema siyo/kweli kwa statement niliyoitoa! Mimi ni mtu wa Kusini na nime"observe" kitu cha aina hiyo!big sufuri!!!
Kazi kweli...Msipohamishwa mnalalamika, mkihamishwa mnalalamika pia.Nchi ya malalamiko. Sasa watu wana sababu za msingi kwanini wasihame? Halafu nani kakwambia kila anayehamishwa analipwa mizigo?Sasa watu 3, 000 wote hao nani analipia kuhamisha mamizigo? hii serikali ya kihuni kabisa ndo maana kila siku inalalamika haina ela, bure kabisa/