MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hivi mpaka wahamiaji haramu wagome huko Mbinga, Songea kwa shinikizo la kurudishwa kwao, Serikali iko wapi? Nani analipia hizo Drip walizotundikiwa hao waliogoma, vitanda na huduma wanazopewa??.......Hivi kwa nini kusiwe na sheria ya kuwa na wiki moja tu tangu kukamatwa kwa wahamiaji haramu na kurudishwa makwao?? Mpaka wagome kweli??