Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Lazaro nyaranda kama cjakoseaHata yule waziri mdogo wa jana (22/06/2011) jina silijui lakini atakuwa siyo mtanzania kabisa yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazaro nyaranda kama cjakoseaHata yule waziri mdogo wa jana (22/06/2011) jina silijui lakini atakuwa siyo mtanzania kabisa yule.
Fredrick Werema Mkulya wa Musoma Vijijini yule. Haumuoni hamakihamaki zake?Benjamin William Mkapa, ni Mmeto wa Msumbiji na Fredrick Werema.
Jaman hii mikoa ya pembezon ni utata mtupu hasa huko north western Tz ni hatari,ukiwachimba wanakwambia waliingia Tanzania 1972 kutoka Burundi. Kuna wengine wafadhili wakuu wa magamba. Hata mbunge wa kigoma mujini ni wa nchi jirani.
Una maana mzee Aikaeli Mbowe(marehemu) wa pale kijiji cha Nshara ninayemfahamu tangu utotoni au mtu mwingine?. Thibitisha la sivyo utakuwa umelogwa au umetumwa.
Hakuna Mtanzania hapo. Wote ni Watanganyika. Mimi nilisikia mahala kuwa baba ya JK alikuwa DC enzi hizo. Akakutana na mama ya Membe huko walikokutana. Akazaliwa Membe. Akatelekezwa na DC Mrisho Kikwete. Wamisionari wakatoliki wakamchukua kumlea. Membe akasoma vizuri. Akaingia UwT. Sasa yuko pale alipo.
Inasemwa kuwa Freeman eti ni mtoto wa Julius! Maneno ni mengi mtaa huu.
Mkullo ni moja ya mawaziri, uraia wao unatia shaka, mwenye data tafadhali ufahamishe umma wa wana JF.
umbea mwingne bwana...Inasemwa kuwa Freeman eti ni mtoto wa Julius! Maneno ni mengi mtaa huu.
Kiongozi flani hivi mkubwa,yeye kila siku anasafiri kwenda kwao
marekani na kuzunguka dunia,tanzania ni sehemu yake ya kazi ingawa haipendi
huyo nae atakua ni raia wa uganda ka ckosei!Mh! hapo kwenye red napata wasiwasi nawe pia. lol.
Kumbe unasikia ? Hapa hakuna kitu tuendelee . Mbona Kinana wa CCM hatajwi ? RA je ?Wassira! Nasikia JK na Membe baba yao ni mmoja?