emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Idara ya uhamiaji katika taarifa ya habari ya TBC 1 usiku huu wamekiri kwamba kuna wahamiaji haramu kibao nchini wasio na vibali na wamewaomba wananchi kusaidia kuwataja.
Kilichonishangaza, mie binafsi nilisha m-report mtu ambaye ni mkenya aliye ingia nchini bila vibali na anafanya kazi nchini bila working permit, kanunua ardhi kama mtanzania, ana passport ya Tanzania na cheti cha kuzaliwa hapa nchini na anacho kipande cha Kenya.
Huyu amekuja nchini miaka ya 98 akiwa na umri wa miaka kama 26 hivi. Amewasumbua sana wa TZ. Nilipo ripot hakuna aliyefuatilia..nilieleza mpaka nyumbani kwao ni wapi na wazazi wake wanakaa wapi. Mpaka sasa anadunda tu na shughuli zake huku akiwadharau wa TZ.
Swali langu ni hili..je wamebadilika kiasi kwamba tukipeleka majina ya wahamiaji haramu yatafanyiwa kazi?
Kilichonishangaza, mie binafsi nilisha m-report mtu ambaye ni mkenya aliye ingia nchini bila vibali na anafanya kazi nchini bila working permit, kanunua ardhi kama mtanzania, ana passport ya Tanzania na cheti cha kuzaliwa hapa nchini na anacho kipande cha Kenya.
Huyu amekuja nchini miaka ya 98 akiwa na umri wa miaka kama 26 hivi. Amewasumbua sana wa TZ. Nilipo ripot hakuna aliyefuatilia..nilieleza mpaka nyumbani kwao ni wapi na wazazi wake wanakaa wapi. Mpaka sasa anadunda tu na shughuli zake huku akiwadharau wa TZ.
Swali langu ni hili..je wamebadilika kiasi kwamba tukipeleka majina ya wahamiaji haramu yatafanyiwa kazi?