Hayo mamilioni kapewa nani au na wewe ni beneficiary?
Huu ni uhuni. Bashe ni raia halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake! Very sad!
Huu ni uhuni. Bashe ni raia halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake! Very sad!