hapa swali ni moja tu alipofikisha umri wa miaka 18 aliukana uraia wa somalia?
ungechanganua na wewe kama alivyofanya mtoa mada tungekuamini.....kuna ugumu gani kwa hilo? Usimtetee kijuu juu tu namna hiyo.Huu ni uhuni. Bashe ni raia halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake! Very sad!
Mimi nimefuatilia swala hili kwa kusoma maelezo aliyoyachapisha Huseni Bashe kwenye mitandao na pia kuongea na baadhi ya wazee wa hapa mjini Nzega(walioipokea familia ya shehe Mohamed Ibrahim na mkewe) na kubaini ukweli ufuatao, pia nimesoma sheria ya uraia(The Tanzania citizenship act, principal legislation, Chapter 357 revised edition, 2002)
Mwenzio katuonyesha kwa nn amesema hayo.....Weye +255 tuambie una-base wapiAliyeandika hiyo barua sidhani ka anajua alichokiandika pamoja na kupoteza muda na cost kufatilia uraia wa jamaa.
Mwandishi mwenyewe kasema Bashe kazaliwa 26.8.1975 Nzega.. Sasa utata wa uraia wake unatokea wapi? Au hajui kuwa kuna uraia wa kuzaliwa?
ungechanganua na wewe kama alivyofanya mtoa mada tungekuamini.....kuna ugumu gani kwa hilo? Usimtetee kijuu juu tu namna hiyo.
Wasomali wana tabia ya kutosahau asili zao..mwacheni apande to the highest position mje muone balaa lake,.rage katufundisha mengi
sasa hapo kitu gani kinanifanya niwe gamba?acha kukurupuka mkuuNyie magamba, kwanini hamtumii akili zenu dhaifu kujiuliza sababu halisi za msomali mwingine [ Kinana ] kujitoa siasa zenu wakati huu ambapo chama lenu linampasuko?
Nimepewa cha juu kidogo zaidi ya wewe.... Kawambie wakuongezee pia.Umepewa kiasi gani?
Nimesoma uzi wote Bashe sio raia. Ila yupo jirani na baadhi viongozi wa ccm. Ambao wanampandisha na kumshusha kwa maslai yao... Ushauri kwa Bashe bora ajipange aombe uraia rasmi kwa kufuata taratibu na kanuni za nchi.!
Huu ni uhuni. Bashe ni raia halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake! Very sad!
Mwandishi ana kiwango kikubwa sana cha kujiamini; huo kwangu ndio uzalendo
Mkuu anatisha kama MZEE PUNCH miaka ya nyuma pale mlimani.
Baba yake mzazi fomu moja 1928 nyingine 1947 na yeye kazaliwa 1977 na nyingine 1976 kaazi kweli kweli