TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
...Great thinkers, tatizo ni nini hapa? Lugha?
Mkuu napata tabu sana sometimes, labda tuulize kama huyo binti alisafiri na passport ya kitanzania au ya india...
...Great thinkers, tatizo ni nini hapa? Lugha?
Kwani passport inachangia nini katika haya mashindano........???Mkuu napata tabu sana sometimes, labda tuulize kama huyo binti alisafiri na passport ya kitanzania au ya india...
Daaaaaaaaa...........kula tano mkubwa..........Mnaumiza vichwa bure.Mashindani ya urembo ya aina hii yanawahusisha wae wenye asili ya India lakini ni wana uraia wa nchi zile wanakoishi.
Hayakuanza jana,yalikuwapo ila Tanzania ndiyo mara ya kwanza lushiriki,kwa hiyo kidogo inaleta taabu kwenye vichwa vya racists!
Sasa hapa kuna wivu gani?Anachotaka kujua kama dual citzenship ina apply ktk nchi hii ili milango iwe wazi kwa yeyote atakaye,upo hapo?Mitanzania mingine ina wivu wa kijinga sana. Inakuuma kuona huyo mdada ana miliki passport mbili?.
Kwani passport inachangia nini katika haya mashindano........???
Sasa kama ni hivyo, basi hatuna sababu ya kuhoji kwani si tunajuwa alipotwaa umiss TZ si tunajuwa alikuwa raia wa wapi ................ na hao washiriki wengine si wapo kama alivyo yeye...??? kwa nini huyu wa TZ ndo tuhoji sana.....??? UBAGUZI TUUU HAMNA JINGINEInaonesha uraia wa mshiriki wa mashindano....Kwamba anatoka Tanzania,ni Mtanzania anayetuwakilisha katika shindano la mlimbwende mwenye asili ya India kwa ngazi ya Dunia(Miss India Worldwide)
Sasa hapa kuna wivu gani?Anachotaka kujua kama dual citzenship ina apply ktk nchi hii ili milango iwe wazi kwa yeyote atakaye,upo hapo?
Sasa kama ni hivyo, basi hatuna sababu ya kuhoji kwani si tunajuwa alipotwaa umiss TZ si tunajuwa alikuwa raia wa wapi ................ na hao washiriki wengine si wapo kama alivyo yeye...??? kwa nini huyu wa TZ ndo tuhoji sana.....??? UBAGUZI TUUU HAMNA JINGINE
Kweli kabisa mkuu,kinachowasumbua watu wengi wanaompinga Richa hapa ni ubaguzi tu....Hakuna kingine
Kama hawafikirii ubaguzi basi wangeanza kwa kuuliza............ na si kutaja mambo hovyo hovyo..mara dual citizenship......mara alisafiri na passport gani.........Sio ubaguzi mkuu, Ni hawaelewi shindano linahusu nini! Wamesoma na kuelewa Miss India na kufananisha na Miss Tanzania!!
According to you ,Kwa hiyo Radhia ni Muhindi?Ni kitu gani sasa kinachofanya Radhia atambuliwe kama Mhindi?
sina uhakika na utimamu wako unaonekana upo ku crash tu na msingi halisi wa nini umekisikia na ukijadili vipi, ama wewe unamiliki kundi la majangili hivyo umeguswaMitanzania mingine ina wivu wa kijinga sana. Inakuuma kuona huyo mdada ana miliki passport mbili?.
According to you ,Kwa hiyo Radhia ni Muhindi?Ni kitu gani sasa kinachofanya Radhia atambuliwe kama Mhindi?