Uhamiaji kwa kufukuta,rais atakiwa kumuondoa mgonja na kuteuwa makamishna kujaza nafa

Tangu Bunge lianze hasa kwenye kipindi cha maswali na majibu kwa wizara ya mambo yandani hakuna mb ane uliza kuhusu hii Idara inayouhishwa kuwa jeshi bila baadhi ya vigogo wao kupita Depo:Hii inaonesha kutokuwa muhimu ama kutotambuliwa vyema hasa kuwa kichaka cha uvunaji pesa kwa vibali feki hasa wachina walio zagaa sehemu kubwa nchini hasa wakandalasi wa ujenzi wa barabara:Hii inatisha:Freedom is on da way Tunisia & Misri blavo
 
Tangu Bunge lianze hasa kwenye kipindi cha maswali na majibu kwa wizara ya mambo yandani hakuna mb ane uliza kuhusu hii Idara inayouhishwa kuwa jeshi bila baadhi ya vigogo wao kupita Depo:Hii inaonesha kutokuwa muhimu ama kutotambuliwa vyema hasa kuwa kichaka cha uvunaji pesa kwa vibali feki hasa wachina walio zagaa sehemu kubwa nchini hasa wakandalasi wa ujenzi wa barabara:Hii inatisha:Freedom is on da way Tunisia & Misri blavo

Wiki iliyopita siku moja baara ya waziri Chami kutangaza crackdown ya wachina kariakoo nilikwenda kariakoo na kukuta wachina wanaendelea na biashara zao kama kawaida. Nilipouliza watz mbona hawajakamatwa wakasema wachina wana mtandao mkubwa na imara ndani ya uhamiaji kiasi kwamba siku wanataka kukamatwa wanapata taarifa wote kisha hawaonekani mitaani.

waliniambia kuna wachina wanaoishi kwenye magodauni na wakuu wa uhamiaji wanajua na wanatoa ulinzi. Wengine kwenye construction sites. Niliambiwa kwamba wachina wengi huingia nchini kwa njia ya meli bila documents halali kwa sababu hata wanakotoka wanakuwa hawajaruhusiwa. Uhamiaji huwapatia makaratasi ya kugushi.
 
Gurudumu: Hiyo nikweli kabisa sass hapo ndio inapotokea mkanganyiko baina ya wizara za serikali Chami anataka kuwafukuza wachina kupitia wizara yake Tena bilakushirikusha Uhamiaji wanaohusikanao na kutumia police inaonekana kaona Uhamiaji hawana tija wala msaada kwake zaidi yapolice,Na hii si marayakwanza hata mkuu wa Mkoa Tanga aliona atumie Police kuliko Uhamiaji baada ya kuona hawatambui majukumuyao:kuhusu uingiaji wa raia toka China inaonekana wana ingia kihalali kabisa wakiwa na hatizao(ppt) na hupatiwa viza na ndipo hujiingiza kwenye shughuli zilizo tofauti na maelekezo ya visa zao,Kuhusu vigogo wa Uhamiaji kuwa linda ni kweli tena usio pingika maana huwapa taarifa pindi lifanyikapo zoezi la ukaguzi Ama kwa kuwambia waondoke au kuwa koromea maafisa waliokwenda kufanya ukaguzi huo toka Vituo vya mikoani Kama Kinondoni,Temeke au mkoani;Nawengi waulizwapo huwa hawana paspiti honyesha nakala za vibali wakibanwa hutaja majina na simu za baadhi ya maafisa Uhamiaji;Na hii si kwa wachina ni kwa raia wengi wakigeni waishio na kufanya kazi nchini asilimia kubwa hawako kihalali ;kunaupotevu mkubwa wa mapato ya serikali ambayo mengi huvunwa na watumishi wasio waadirifu waliojaa fitna na uzandiki kwa kujaza matumbo Yao :Mabadiliko ya razima yanahitajika hasa kwenye hii Idara nyeti ambayo inaonekana umuhimu wake hautambuliki na kuacha wachache wajinufaishe kwa kutoa vibali fake:piga hesabu za fasta dolla 620*50 kwa wakandarasi wakichina zote anakula mtu na kuwapa hati zisizo fata utaratibu:Na kuna miradi mingapi serikali imeingia na wakandarasi toka China nchini wote wakipigwa za shingo itakuaje?'
 
Gurudumu: Hiyo nikweli kabisa sass hapo ndio inapotokea mkanganyiko baina ya wizara za serikali Chami anataka kuwafukuza wachina kupitia wizara yake Tena bilakushirikusha Uhamiaji wanaohusikanao na kutumia police inaonekana kaona Uhamiaji hawana tija wala msaada kwake zaidi yapolice,Na hii si marayakwanza hata mkuu wa Mkoa Tanga aliona atumie Police kuliko Uhamiaji baada ya kuona hawatambui majukumuyao:kuhusu uingiaji wa raia toka China inaonekana wana ingia kihalali kabisa wakiwa na hatizao(ppt) na hupatiwa viza na ndipo hujiingiza kwenye shughuli zilizo tofauti na maelekezo ya visa zao,Kuhusu vigogo wa Uhamiaji kuwa linda ni kweli tena usio pingika maana huwapa taarifa pindi lifanyikapo zoezi la ukaguzi Ama kwa kuwambia waondoke au kuwa koromea maafisa waliokwenda kufanya ukaguzi huo toka Vituo vya mikoani Kama Kinondoni,Temeke au mkoani;Nawengi waulizwapo huwa hawana paspiti honyesha nakala za vibali wakibanwa hutaja majina na simu za baadhi ya maafisa Uhamiaji;Na hii si kwa wachina ni kwa raia wengi wakigeni waishio na kufanya kazi nchini asilimia kubwa hawako kihalali ;kunaupotevu mkubwa wa mapato ya serikali ambayo mengi huvunwa na watumishi wasio waadirifu waliojaa fitna na uzandiki kwa kujaza matumbo Yao :Mabadiliko ya razima yanahitajika hasa kwenye hii Idara nyeti ambayo inaonekana umuhimu wake hautambuliki na kuacha wachache wajinufaishe kwa kutoa vibali fake:piga hesabu za fasta dolla 620*50 kwa wakandarasi wakichina zote anakula mtu na kuwapa hati zisizo fata utaratibu:Na kuna miradi mingapi serikali imeingia na wakandarasi toka China nchini wote wakipigwa za shingo itakuaje?'

Poa mkuu, ingawa imekuwa vigumu sana kuisoma post yako kwa kuwa hutumii punctuation sawasawa na bila paragraph. Sikufundishi mkuu usinielewe vibaya
 
Back
Top Bottom