rungulugujo
New Member
- Dec 26, 2010
- 2
- 0
Kuteuliwa kwa kamishna Mkuu NDG Ulungi kulitegemewa na Wengi na watumishi wanamwamini na wanampongeza rais Jk kwa uteuzi huo ulungi siyo fisadi na ni mtu wa kufuata sheria asiye na majungu.Hata hivyo IKULU baado inalaumiwa kwa chombo kikubwa kama hiki cha ulinzi na usalama kushindwa kuwateuwa Makamishan wengine ambao nafasi baado ziko wazi hali imepelekea Idara sasa kuongozwa na mtu mmoja tu kamishna wa utawala na Fedha ambaye anaipeleka Idara pabaya kwani amekuwa akiifanya Idara hii ni mali yake na kujifanyia maamuzi kivyake bila ha ta kuwashirikisha viongozi wenzake,kamishana huyu MGONJA kwanza aliinigia kwenye nafasi hii muhimu kwa kubebwa na kamishna mkuu Mstaafu ndg KIHOMANO ili kulinda maslahi yake ya kifisadi kwani hana taalauma ya utawala na Fedha na aliyeshinda nafasi hiyo wakati huo ni ndg MBUYA ingawa KIHOMANO kwa kutumia ushrika wake wa karibu ndg LUMBANGA alishinikiza nafasi hiyo apewe MGONJA,Dhambi hii ndiyo inayoitafuna Idara na Watumishi wamezamilia sasa kuanika Uozo wote anaoufanya wa UFISADI,UKABILA,MAJUNGU anayoyafanya idarani.
NDG MGONJA ameendekeza ukabila kwa kuwateuwa Wachagga na wapale kushika sehemu mbalimbali zenye maslahi nayeye kama vile Uteuzi wa RIO kwa mikoa yenye Neema kama ARUSHA,mipakani wamejaa wenzake,Viwanja Vya Ndege usiseme.mfano tarehe 01/04/2010 dada mmoja aitwaye SHARIFA alihamishiwa wilaya ya TEMEKE lakini kwa mshangao yeye tu hakuchukua hata mwezi akahamishiwa JNIA je yeye ana sifa gani muhimu za kupekwa huko?
PIA ukienda kitengo cha Pasipoti utakuta kuna watu wanazeekea pale hawahami kama vile mleka,lilian malekos,mwansasu,na wengine lakini kuna watu hata mwaka wanahamishwa kwa kusingiziwa makosa.Kitengo cha hati ndiyo usiseme kwani wamepanga safu zao anzia SHAYO NYANGE,MAGADULA huyu ananyota Mbili lakini cha ajabu DCI,SACI,ACI n.k wanalipoti kwake kwanini ??kama siyo mtandao''''''.Angalia kule TIC watu walihamishwa lakini walichanga Fedha na kutoa kwa wakubwa na uhamisho kufutwa licha ya Aliyekuwa akikaimu nafasi Ya kamishna mkuu kuelekeza nafasi hizo kuwa za mzunguko.Nenda uraia watu wanajichuulia fedha za malipo ya uraia bure kwani hakuna AUDITING inayofanywa kuonyesha uwiano wa vyeti vinavyotolewa na fedha inayokusanywa.
LAKINI pia MGONJA analalamikiwa kuwa na watu wake anaowabeba wakiwemo wanawake wa kipale na hawara zake ambao hawa hawahamishwi licha ya kukaa muda mrefu angalia kitengo cha Sheria,Utumishi n.k watumishi pia wanaul;iza kuna sheria ambayo zamani ilikuwa inatumika kuwa kwa VYEO fulani kama huna mke hurusiwi kuteuliwa mbona huyu hana mke na karibia anastafu sheria hiyo iko wapi?
MGONJA ananlalamikiwa kuwa mtu wa majungu bila hata kufanya upembuzi matokeo yake amekuwa akifanya maamuzi yanagusa vibaya maisha ya wafanyakazi.
RAIS mwondoe katika nafasi hiyo ukitaka Idara hii pamoja na kamishna mkuu mpya afanye kazi kwa mafanikio.
PIa ULUNGI azifanyie mabadiliko ikiwemo kuomba maafisa UTUMISHI raia na Kumuondoa baadhi ya maafisa mipango ambao hawana tija kwa idara.
UPANDISHAJI vyeo nao ni UFISADI kwani kuna watu walipanda mwaka jana lakini wamepanda tena safari hii huu ni UHUNI????
mATUMIZI mabaya ya kulipana POSHO tu makao makuu kwa safari na vikao hewa visivyokuwa na Safari report ziangaliwe na ulipaji wa posho bila kaangalia vyeo rate viangaliwe
KATIBU MKUU,WAZIRI PAMOJA NA DAP IANGALIENI SANA IDARA HII
NDG MGONJA ameendekeza ukabila kwa kuwateuwa Wachagga na wapale kushika sehemu mbalimbali zenye maslahi nayeye kama vile Uteuzi wa RIO kwa mikoa yenye Neema kama ARUSHA,mipakani wamejaa wenzake,Viwanja Vya Ndege usiseme.mfano tarehe 01/04/2010 dada mmoja aitwaye SHARIFA alihamishiwa wilaya ya TEMEKE lakini kwa mshangao yeye tu hakuchukua hata mwezi akahamishiwa JNIA je yeye ana sifa gani muhimu za kupekwa huko?
PIA ukienda kitengo cha Pasipoti utakuta kuna watu wanazeekea pale hawahami kama vile mleka,lilian malekos,mwansasu,na wengine lakini kuna watu hata mwaka wanahamishwa kwa kusingiziwa makosa.Kitengo cha hati ndiyo usiseme kwani wamepanga safu zao anzia SHAYO NYANGE,MAGADULA huyu ananyota Mbili lakini cha ajabu DCI,SACI,ACI n.k wanalipoti kwake kwanini ??kama siyo mtandao''''''.Angalia kule TIC watu walihamishwa lakini walichanga Fedha na kutoa kwa wakubwa na uhamisho kufutwa licha ya Aliyekuwa akikaimu nafasi Ya kamishna mkuu kuelekeza nafasi hizo kuwa za mzunguko.Nenda uraia watu wanajichuulia fedha za malipo ya uraia bure kwani hakuna AUDITING inayofanywa kuonyesha uwiano wa vyeti vinavyotolewa na fedha inayokusanywa.
LAKINI pia MGONJA analalamikiwa kuwa na watu wake anaowabeba wakiwemo wanawake wa kipale na hawara zake ambao hawa hawahamishwi licha ya kukaa muda mrefu angalia kitengo cha Sheria,Utumishi n.k watumishi pia wanaul;iza kuna sheria ambayo zamani ilikuwa inatumika kuwa kwa VYEO fulani kama huna mke hurusiwi kuteuliwa mbona huyu hana mke na karibia anastafu sheria hiyo iko wapi?
MGONJA ananlalamikiwa kuwa mtu wa majungu bila hata kufanya upembuzi matokeo yake amekuwa akifanya maamuzi yanagusa vibaya maisha ya wafanyakazi.
RAIS mwondoe katika nafasi hiyo ukitaka Idara hii pamoja na kamishna mkuu mpya afanye kazi kwa mafanikio.
PIa ULUNGI azifanyie mabadiliko ikiwemo kuomba maafisa UTUMISHI raia na Kumuondoa baadhi ya maafisa mipango ambao hawana tija kwa idara.
UPANDISHAJI vyeo nao ni UFISADI kwani kuna watu walipanda mwaka jana lakini wamepanda tena safari hii huu ni UHUNI????
mATUMIZI mabaya ya kulipana POSHO tu makao makuu kwa safari na vikao hewa visivyokuwa na Safari report ziangaliwe na ulipaji wa posho bila kaangalia vyeo rate viangaliwe
KATIBU MKUU,WAZIRI PAMOJA NA DAP IANGALIENI SANA IDARA HII