Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Najaribu kufikiri itakuwaje watu wa dini ingine wakianza kuhoji uhalali wa serikali kumpa msaada mchungaji wa mstaafu wa KKKT katika kuendesha huduma yake.
Mara kwa mara waislamu wamelalamika kuwa serikali inawapendelea wakristo hasa wakatoliki katika kuwasaidia.
Tunajua serikali haina dini. Na hutenda kazi zake kwa kufuata sheria ya nchi, sheria ipi imetumika kumsaidia mchungaji mstaafu.
Sina ugomvi na mchungaji Mwakasapile kwani hata mimi ni muumini wa kikristo dhehebu la lutheran. Hofu yangu ni pale watu watakapoanza kuchokonoa maswala haya.
Nawasilisha.
Mara kwa mara waislamu wamelalamika kuwa serikali inawapendelea wakristo hasa wakatoliki katika kuwasaidia.
Tunajua serikali haina dini. Na hutenda kazi zake kwa kufuata sheria ya nchi, sheria ipi imetumika kumsaidia mchungaji mstaafu.
Sina ugomvi na mchungaji Mwakasapile kwani hata mimi ni muumini wa kikristo dhehebu la lutheran. Hofu yangu ni pale watu watakapoanza kuchokonoa maswala haya.
Nawasilisha.