Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
wakuu nimeangalia kupitia mtandao wa NEC kuhajiji jina langu sijaliona! nimeana majina ya familia yangu tu. Sasa sijui bado daftari linaendelea ku-updatiwa au nimeliwa?
Tafadhari mwenyekujua taratibu anisaidie nifanye namna gani?
Tafadhari mwenyekujua taratibu anisaidie nifanye namna gani?